Spika Tulia, Bunge hili limekushinda IPU utaweza?

Spika Tulia, Bunge hili limekushinda IPU utaweza?

MtuHabari

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
321
Reaction score
1,020
Toka umepitishwa kuwa Spika umefanya mambo mengi unconstitutional likiwemo hili la kuendelea kuweka wabunge 19 wasio wanachama wa vyama vya siasa kibabe.

Hili ni bunge la nchi moja tu tena yenye utulivu tofauti na mabunge magumu kama Afrika Kusini, Kenya nk na limekushinda jee huko IPU unakopigiwa chapuo uchaguliwe utaweza au unataka kupeleka u ccm na kuaibisha taifa?

Kwa mawazo yangu ni HAPANA.
 
Hawezi kuchagulia IPU anapigiwa chapuo na wasafi fm kina Zimbwela na kitenge watu ambao hawajui kuhusu siasa
 
Toka umepitishwa kuwa Spika umefanya mambo mengi unconstitutional likiwemo hili la kuendelea kuweka wabunge 19 wasio wanachama wa vyama vya siasa kibabe.

Hili ni bunge la nchi moja tuu tena yenye utulivu tofauti na mabunge magumu kama Afrika Kusini, Kenya nk na limekushinda jee huko IPU unakopigiwa chapuo uchaguliwe utaweza au unataka kupeleka u ccm na kuaibisha taifa?

Kwa mawazo yangu ni HAPANA.
Huyu bibi anatamaa ya madaraka sn anadhani na hilo ni bunge la CCM
 
Toka umepitishwa kuwa Spika umefanya mambo mengi unconstitutional likiwemo hili la kuendelea kuweka wabunge 19 wasio wanachama wa vyama vya siasa kibabe.

Hili ni bunge la nchi moja tuu tena yenye utulivu tofauti na mabunge magumu kama Afrika Kusini, Kenya nk na limekushinda jee huko IPU unakopigiwa chapuo uchaguliwe utaweza au unataka kupeleka u ccm na kuaibisha taifa?

Kwa mawazo yangu ni HAPANA.
Huyu bibi anatamaa ya madaraka sn anadhani na hilo ni bunge la CCM
 
Toka umepitishwa kuwa Spika umefanya mambo mengi unconstitutional likiwemo hili la kuendelea kuweka wabunge 19 wasio wanachama wa vyama vya siasa kibabe.

Hili ni bunge la nchi moja tu tena yenye utulivu tofauti na mabunge magumu kama Afrika Kusini, Kenya nk na limekushinda jee huko IPU unakopigiwa chapuo uchaguliwe utaweza au unataka kupeleka u ccm na kuaibisha taifa?

Kwa mawazo yangu ni HAPANA.


Boss, Acha kumlaumu spika, watu ambao unatakiwa kuwalaumu ni tume ya uchaguzi, wao tume ndio walipeleka majina Kwa Spika ili hao covid waapishwe kuwa wabunge

Sasa kosa la Spika hapo ni nini?

Why usielekeze lawama zako Kwa tume uwaulize walipata majina ya hao wabunge kutoka kwa kiongozi gani wa chadema?
 
Boss, Acha kumlaumu spika, watu ambao unatakiwa kuwalaumu ni tume ya uchaguzi, wao tume ndio walipeleka majina Kwa Spika ili hao covid waapishwe kuwa wabunge

Sasa kosa la Spika hapo ni nini?

Why usielekeze lawama zako Kwa tume uwaulize walipata majina ya hao wabunge kutoka kwa kiongozi gani wa chadema?
Bunge likishaletewa official notice kutoka chama kuwa mtu tumemvua uanachama anakosa haki ya kuwa mbunge
 
Tafadhali Tulia, tulia hapo hapo ulipopakatwa na kutulizwa. Huko kwingine hutatulia kamwe kwani wa kukupakata na kukutuliza hayupo.
 
Toka umepitishwa kuwa Spika umefanya mambo mengi unconstitutional likiwemo hili la kuendelea kuweka wabunge 19 wasio wanachama wa vyama vya siasa kibabe.

Hili ni bunge la nchi moja tu tena yenye utulivu tofauti na mabunge magumu kama Afrika Kusini, Kenya nk na limekushinda jee huko IPU unakopigiwa chapuo uchaguliwe utaweza au unataka kupeleka u ccm na kuaibisha taifa?

Kwa mawazo yangu ni HAPANA.
Atapeleka chawa wake kule.

Dada Tulia amestuka bora abaki na Bunge la IPU maana la JMT mwisho ni 2025
 
Back
Top Bottom