Spika Tulia, Bunge hili limekushinda IPU utaweza?

Spika Tulia, Bunge hili limekushinda IPU utaweza?

Hapo alipo kwanza kabebwa na mwendazake. From nowhere kapewa ubunge wa michongo Kisha unaibu spika wa michongo.
Hata ubunge alionao kwa Sasa Ni wa michongo.
Kwanza ana experience gani ya kua spika? Angekua jobo anakubalika na CCM Wala tusingemjua. Akae kwa kutulia.
Ingekua career politician Kama Makinda tungesema apewe.
 
Back
Top Bottom