Mhe. Rais kama anasikiliza aanze kwa kumuondoa Mke wa Ndugai kama DED wa Bahi Dodoma, Ndugai hana ethics za kazi kabisa kwa kila jambo kulifananaisha na maslahi ya mkewe. Upuuzi sana huu.Kwahiyo wakurugenzi wasimzidi mkewe mshahara??.
Yeye anajua limitation za uspika wake?
Au anajiona anaweza ropoka chochote?
Duh huyu si inasemekana yule DED wa BAHI ndio Bi Mkubwa wake, na nimeona CAG katoa angalizo kwenye hii Wilaya? Au ndio kupigia Debe akiongezewa Tumshahara then atapata HATI safi ya CAG? 😂😂😂😂😇😇😇😇 Ni wazo tu wajumbeSpika Ndugai ameshangazwa na serikali kuwalipa mishahara mikubwa wakurugenzi wa mamlaka ya maji na ile ya barabara za vijijini ambayo ni zaidi ya mishahara wanayolipwa Wakurugenzi wa wilaya.
Ndugai amesema hayo akimuunga mkono mbunge wa Gairo mh Shabiby aliyedai wakurugenzi wa Tarura na Ruwasa wamejigeuza miungu watu.
Ramadhan Kareem!
Kwa matibabu aliyopandikizwa huyu jamaa atakuwa Nusu ni robot naskia anaSi JMT tu, huyu ni kwa Afrika yote.
CCM walibugi sana kumchagua huyu jamaa wa kigogo kama Spika...Very very shallow minded🤩Mhe. Rais kama anasikiliza aanze kwa kumuondoa Mke wa Ndugai kama DED wa Bahi Dodoma, Ndugai hana ethics za kazi kabisa kwa kila jambo kulifananaisha na maslahi ya mkewe. Upuuzi sana huu.
Du....!!!Kwa matibabu aliyopandikizwa huyu jamaa atakuwa Nusu ni robot naskia ana
Ngoma,sukari,pressure, corona,ukoma.etc
Alikuwa anamtetea Mke wake DED wa Bahi apate mshahara zaidi!! Huyu MGOGO ni mbinafsi , fisadi na mnafiki!!!Ndugai anatumwa na mabeberu!