illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,119
Ni hatari kwa usalama wa taifa ukizingatia kwamba wabunge wale hawakwenda official visit wakaalikwa kwenye kituo cha tv cha nchi jirani na kuanza kuongea bila mpangilio hivyo kujikuta wanaongea habari za ndani ya nchi bila wao kujijua wakati wanajibu maswali ya kichokozi ya mwandishi.
Chukua hatua agwe tunaoelewa tutaelewa wasioelewa watalaumu
Chukua hatua agwe tunaoelewa tutaelewa wasioelewa watalaumu