Spika Ndugai unataka Lissu afe?

Taratibu zilianza kuvunjwa tokea dodoma,medical team kwenda kwa ambaye akufuata taratibu au ilishawahi tokea kwa nani medical team kwenda alipolazwa mgonjwa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hicho kikao cha Dodoma nani alikuwa Mwenyekiti wake?
Uongozi mzima wa Mjengoni ulikuwepo.

So Baada ya pale tulianza kuonyeshwa Siasa za kibabe ktk Taarifa/matamko.
 
Nadhani ndugai alikuwemo kwenye ile nissan nyeupe..siyo bure. Ila kiukweli atakwama sana maana hatutamuacha TL aadhirike kama anavyotaka ndungae.. nyambafu zake
 
taratibu za kiutumishi zitafuatwa na lissu atapatiwa mshahara wake kwani ni haki yake ya msingi hakuna anayeweza kuzuia mshahara wake ni kasoro ndogo ndogo zimejitokeza
 
Kama kweli mheshimiwa Tundu Lissu amesimamishiwa au kuondolewa mshahara wake huo ni ukatili uliuopitiliza.Mh Lissu si bado anatibiwa? Hivi kuikosoa serikali ni uhaini au kosa la jinai?
 
Sasa wasio julikana wanajianika wenyewe hadharani hiki kizee nuksi ni kimoja wapo.
 
Taratibu na kanuni haziangalii sura usipozifuata kufa tu tutakuzika.
Wewe kada ngoja nikuulize swali, je sheria hizo zinawahusu watu wa upinzani pekee??

Mbona tulikuona wewe Ndugai, ukienda kutibiwa India na kuwekwa Hoteli ya 5 Star, je hizo ndiyo stahiki za matibabu ya Mbunge??
 
Atakufa Yeye

mwenzake atamuacha anadunda.

Kama walimkosa Risasi 16 , Njaa haiwezi kumuua Lisu, Huyo anamkataba wa wazi na MUNGU wake Ndiyo maana alimponya kwenye Lile jaribio la kumuua.
 
Kama hajui aliko siku zote hizo.kwa nini havuliwi Ubunve kama Nassari...!?
 
Duh! Ulishawahi kuajiriwa kwenye taasisi za uma au serikali kuu? Mtu akiumwa inakuaje anafutiwa mshahara au anafukuzwa kazi? Akipata ajali kazini inakuaje?
Ndungai na bunge zima nawapongeza kwa kufuata taratibu na kanuni walizojiwekea.

Haiwezekani mtu anakula posho na mshahara ambao ajaufanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ngaunje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…