Spika Ndugai: Nassari miezi tisa hajafika bungeni, wala hatuna barua yake hata barua aliionesha haina sahihi

Kama alivyomshauri Lissu, kama kweli Nasari is serious, I mean isijekuwa janja ya kuunga mkono juhudi, aende mahakamani ili sote tujue mbivu na mbichi. Mfano kiongozi yeyote anayejua protocols as you claim angemuandiia barua rasmi Nasari juu ya kuvuliwa ubunge badala ya kukimbilia kumuandikia mwenyekiti wa tume.
Sasa kati ya mwalimu na mwanafunzi ni yupi anawajibika kumuomba udhuru mwenzake?

Barua zinaenda kwa kufuata protocols na kanuni usifikiri barua za kiserikali zinaandikwa tu, protocols zinamtaka Mbunge awajibe kwa spika ambae ndio kiongozi wake kuhusu mambo yanayomuhusu yeye Mbunge, sio spika ndio awajibike kwa Mbunge.

Hiki kitu simple sana wala hauhitajiki akili nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika jimboni kwake haonekani? Je kuna malalamiko rasmi kutoka kwa waliomchagua? Bado hii sheria ina walakini, haiwezekani mbunge kama Sugu amechaguliwa na wananchi zaidi ya laki tatu halafu mtu mmoja tuu anamfuta ubunge wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hujaona wazee wa arumeru walivyomlalamikia!..
Halafu wananchi laki 3 kitu gani wewe, raisi aliyechaguliwa na watu milion 8 akizingua anatolewa na wabunge 200 tu!..
Sheria ni msumeno bob!..
 
At least to its minimum angefuata procedure za kumsikiliza na kumjulisha hiyo nia yake ya kumvua ubunge. ......bas hata barua angepewa yeye kwanza. ...
Mr speaker. .... vipi angekuwa wa chama chako, Ungefuata utaratibu huo?

Anyways... bado namuona Nassari anayo shida ya msingi kabisa. ..
9 month bila kwenda kazin. ....dah.....
Nisaidieni,
Hivi Nimrod Mkono ni mbunge au sio mbunge?
 
Kama alivyomshauri Lissu, kama kweli Nasari is serious, I mean isijekuwa janja ya kuunga mkono juhudi, aende mahakamani ili sote tujue mbivu na mbichi. Mfano kiongozi yeyote anayejua protocols as you claim angemuandiia barua rasmi Nasari juu ya kuvuliwa ubunge badala ya kukimbilia kumuandikia mwenyekiti wa tume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakamani huwezi ukaenda na ushahidi wa barua ambayo haijasainiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaishi kwa mazoea sana.

Unafahamu hali ya siasa ilivyo kwa sasa nchini halafu bado unafanya kosa la kizembe namna hii kwa kutegemea huruma ya wananchi. Huu ni uzembe wa kiwango cha lami.

Katika uwanja wa vita kitu muhimu ni kumjua adui yako ili ujue utatumia mbinu zipi kukabiliana nae. Je,ina maana hata vitu vidogo kama hivi alishindwa kuvijua? Chama kinawajibu gani kwa wabunge wake ambao wanaonyesha utovu wa nidhamu kwa namna hii?

Akili inakataa kabisa kwamba huyu Mheshimiwa alikuwa hajui kama hili ni kosa, hapa ndio akili za 'Mbayuwayu' zinapotakiwa kutumika.
 
Kalifanya jambo kiswahili sana, hata viongozi wake wa upinzani hakuwaambia ili wakamwakilishe bungeni!!.. Yani siku 90 haupo kazini kama vile mtoto alikuwa ICU daily na wewe ndio daktari wake!.
Hii teknik iliyotumika this time ni ya kisheria kwakweli!!..
Hili suala hata kama Ndugai ana matatizo na wabunge wa Upinzani,kwa hili Nassari anabeba lawama 99%...Hata taarifa tu alishindwa kuandika na kwasilisha kwa dispatch? Nassari asifanye watu wajinga kama anaunga mkono juhudi aende tu kama wenzake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaishi kwa mazoea sana.

Unafahamu hali ya siasa ilivyo kwa sasa nchini halafu bado unafanya kosa la kizembe namna hii kwa kutegemea huruma ya wananchi. Huu ni uzembe wa kiwango cha lami.

Katika uwanja wa vita kitu muhimu ni kumjua adui yako ili ujue utatumia mbinu zipi kukabiliana nae. Je,ina maana hata vitu vidogo kama hivi alishindwa kuvijua? Chama kinawajibu gani kwa wabunge wake ambao wanaonyesha utovu wa nidhamu kwa namna hii?

Akili inakataa kabisa kwamba huyu Mheshimiwa alikuwa hajui kama hili ni kosa, hapa ndio akili za 'Mbayuwayu' zinapotakiwa kutumika.
Chadema wamvue Uanachama kabisa.Hawa vijana wakishapata vyeo wanajifanya wapo busy kuliko kuwawakilisha wananchi waliowapa hivyo vyeo.

Kwa hili nipo pamoja na Ndugai..Miezi 9 ushindwe kuwasilisha taarifa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasari kaunga mkono hoja,

Maendeleo hayana vyama.

Huwezi kukaa miezi Tisa mfululizo upo nje ya Bunge kiss unauguliwa, Inamaana huyo mgonjwa angetumia masaa matatu kwa ndege kwenda DODOMA kuonana Ana kwa Ana na Spika Wabunge kumuelezea shida Yake ingemgharimu Nini?

Yaani mtoto Hana mama YAKE wa kubaki naye Hospital? Hata Bibi zake pia Hana?

Hata Simu kumpigia Simu Spika pia ilishindikana? Hata Kiongozi wake wa kambi Rasmi Bungeni kumtuma kwenda kumuombea Ruhusa kwa Spika nayo pua ilishindikana?

Mimi sitaki kuusikia UTETEZI wake.

NI kweli Kuna wakati Mwingine huwa napingana na Spika. Ila KWENYE HILI naunga mkono hoja. Wabunge wa Aina hi wore walioko Bungeni wafukuzwe Mara moja.

HONGERA SANA SPIKA WA BUNGE
 




Mwaka mzima ajatokea na hii ilikuwa mwaka gani?


Huu ulikuwa ni wakati wa mkutano wa bunge la bajeti ya 2018/2019 mwezi April - June, 2018 kama sijakosea...

Ndiyo ishu ya mjadala wa KORO - SHOW ilikuwa hot na jamaa (Jiwe) kuwashukia wabunge wa Kusini kwamba wakileta fyokofyoko, atawaingilia na kuwacharaza viboko hadi shangazi zao wote...

Sasa ukipiga mahesabu hapo ni kuwa mara baada ya mkutano wa bunge la bajeti, huwa kuna mkutano mwingine tena mwezi Septemba na baadaye mwezi Novemba....

Naweza kurekebishwa nilipokosea.....
 
Nimeshatilisha Mimba kwa zaid ya Miaka 40 na sasa nakula Penshen

Mimba ya Mwisho nimetilisha wakati huo Rais wa Marekan Ni Bill Clinton Na Rais wa Kenya Ni Daniel Arap Moi

Dua yako ime expire tayari kabla hujamaliza kuomba
Du kumbe wewe ni mdada?
 
Wewe ni msajili wa mahakama? Anaweza kufungua kesi kupinga taratibu za kufutiwa ubunge na shauri likapokelewa. Kwenye kesi ya msingi ndo tutajua kuhusu uhalali wa barua kutokuwa signed au la...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akupe nguvu! Hivi bado unamaani kua hiyo barua inaweza kua utetezi mahakamani? Au unadhan kua wanaosaini barua na kuzipeleka kwa dispatch ni wajinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom