Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Watu wana roho za kutu.Walaniwe kabisa.
Pohamba,
Tanzania belongs to all Tanzanias! Hii nchi si ya CCM wala ya Magufuli ni yetu sote! Kilichofanyika Bungeni ni double standards! Mbona siku ile Ndugai alipoitwa 'Fwaala' alimtambua Mbunge aliyemwita hivo? Iweje Mbunge aliyemwita Mnyika 'Mwizi'
hakutambuliwa kwa madai ati Spika hana masikio mia moja ya kusikia kila kitu? Kama hawezi kusikia,kuona na kuchukua hatua kumbe kazi yake nini anapokuwa amekaa kwenye kiti???
Muda ndio utawahukumu.sasa ndiyo wameshahukumiwa tayari,mnaamua nini labda?
Alikuwa mbunge. Hujui wewe?kwani Ndesamburo ni nani katika taifa hili labda?
Katika vitu ninavyovichukia cha 1. Shetani 2. CCM na wanaccm
Leo video imekuwa shahidi, lakini video iliyomuonesha Bashite wakati anavamia Cloud Media haikuwa shahidi.
Hizi chuki wanazozionesha dhahiri ni ndogo .sana kuliko zilizopo kwenye Mioyo yao
Mle bungeni kuna mtu alitamka neno "fala"....mbona kilinuka.
Ila alipokuja mwenzetu kutamwaka neno " mwizi tukapotezea.
Hawawezi kumuenzi kwani alichowafanyia Moshi kinawatesa hadi hawapati usingizi. N.a. sidhani kama ktk miongo ya karibuni wataambulia kitu.Thinktz01,
Unayosema ni kweli tatizo ni mfumo uliooza chini ya Utawala wa CCM! Job Ndugai hakustahili hata kwa nukta kuwa Spika wa Bunge la Tanzania. Hana sifa,hana busara, hana hikma lakini pia huyu jamaa ana ugonjwa wa sonono!
Kama Spika ameshindwa kuheshimu na au kuthamini uhai na michango ya Mbunge mstahafu aliyetutoka Marehemu Philemon Ndesamburo basi Taifa hili linaongozwa na vihiyo wasiojua wajibu na mipaka yao ya kazi!!!
Kuwa na akili saa nyingine home boy.. Jiepushe na kuropoka. Kumchukia Ndesa Pesa hakukuongezei ujiko wowotekwani Ndesamburo ni nani katika taifa hili labda?
Kamati ya Mkuchika huwa ni kamati katili yenye watu wenye roho mbaya za kichawi kwanza mkuchika mwenyewe ni wale wa kujua kusoma na kuandika hana vyeti na kama asingekuwa Mbunge leo kule mtwara angekuwa sangoma mchawi ni kizee kibaya sana kwa Ustawi wa chadema mda mwingi kinatamani wabunge wa chadema wapande ndege moja kisha ianguke wafe kama ile timu ya Zambia.Yale yaliyotokea Bungeni leo katika azimio la kuwafukuza Wabunge wa upinzani toka CHADEMA Bi Halima Mdee na Bi Esther Amos Bulaya ni kuonyesha kwamba Bunge chini ya Ndugai hawajui kama CHADEMA wana msiba mkubwa wa mwasisi wa chama chao Mbunge mstahafu ndugu Philemon Ndesamburo!
Hii imedhihirisha kuwa CCM wanawachukia wapinzani hasa CHADEMA na wanatamani hata leo hii Wabunge wote wa CHADEMA wapukutike wote!
Haiwezekani Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge itoe mapendekezo ya adhabu hii kwa Wabunge hawa 2 walioko kwenye msiba huu mkubwa?
Nimesikiliza mapendekezo ya Kamati iliyoungwa mkono na asilimia kubwa ya Wabunge wa CCM! Inasikitisha kwamba Spika Ndugai na Mwenyekiti wa Kamati Mzee George Mkuchika hawakugusia chanzo cha tatizo lililopelekea vurugu hizo! Mbunge wa CCM aliwasha mic na kusema MNYIKA MWIZI,lakini si Spika wala Mkuchika aliyeonyesha juhudi za kumsaka huyo Mbunge wa CCM aliyeropoka hayo maneno! Spika anasema hawezi kuwa na masikio 100 ya kusikia kila Mbunge anachosema!!!Huu ni uongo wa Ndugai na ameonysha double standard, maana hayo maneo yangelisemwa na Mbungevwa upinzani leo asingelikuwa Bungeni! Mwenyekiti anadai kuwa swala la kujua chanzo au Mbunge aliyemwita Mnyika Mwizi haikuwepo kwenye hadidu za rejea!! This is rubbish! Kamati inasema iliangalia mkada wa video ili kujiridhisha kwa makosa ya hao Wabunge,inashangaza kuwa Kamati haikuona yote yaliyotamkwa na kichaa wao Lusinde na huyo aliyemwita Mnyika mwizi!!
Namaliza kwa kushauri Bulaya na Mdee waende Mahakamani maana haiwezekani Bunge liwe ni kila kitu! Kama Polisi wanakamata Mbunge na kumsweka Rimande na kushtakiwa Mahakamani iweje Mbunge akienda kulalamika Mahakamani aambiwe Mahakama haina mamlaka hayo??
Je, hivi leo ikitokea Mbunge akapigwa na Mbunge mwenzake wakiwa ndani Bunge akapoteza uhai, Bunge kwa kutumia Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge wana uwezo wa kusikiliza murder au manslauter case??
Mdee,Bulaya na Mnyika tafuteni Haki yenu Mahakamani, Bunge is not a final judiciary machinery!!!
.......badala ya kufuatilia rambi rambi, ebo.mkuu,usipoteze calories zako kuelimisha majitu ya hovyo hovyo kama haya ya Chadema.
Bila hata kumjali mbunge mwenzao Lucy ambaye ni mtoto wa marehemu mzee P.Ndesamburo.Thinktz01,
Unayosema ni kweli tatizo ni mfumo uliooza chini ya Utawala wa CCM! Job Ndugai hakustahili hata kwa nukta kuwa Spika wa Bunge la Tanzania. Hana sifa,hana busara, hana hikma lakini pia huyu jamaa ana ugonjwa wa sonono!
Kama Spika ameshindwa kuheshimu na au kuthamini uhai na michango ya Mbunge mstahafu aliyetutoka Marehemu Philemon Ndesamburo basi Taifa hili linaongozwa na vihiyo wasiojua wajibu na mipaka yao ya kazi!!!
Safi sana moods. Watu wa namna hii wapeni hata burn ya mwaka mzma.kwani Ndesamburo ni nani katika taifa hili labda?
kwani Ndesamburo ni nani katika taifa hili labda?
Ndiyo sababu wabunge wengi wa upinzani ni pumbavu tu hawatunzi akili wanatumia hisiaIkifika wakati wanataka kumuadhibu mbuge wa upinzani ubinadamu huwa unawatoka kabisa!
Wabunge wanawake wa CCM ni mashetani hakuna mfano na wengine kama wasingekuwa Wabunge leo hii wangekuwa Vigagula Hatari zaidi huko vijijiniNadhani CCM number 1,shetani number 2.Maana ni bora Shetani kuliko CCM na mwanaccm.
Alikuwa baba yako kwani mama yako hajakuambia? au mimba yako alibamvikiwa mtu? Kapimwe DNA kwani unamkana Baba yako kisa umevutishwa bangi na CCMkwani Ndesamburo ni nani katika taifa hili labda?