Spika Ndugai na Bunge lake hawana taarifa ya kifo cha Ndesamburo?

Yale yaliyotokea Bungeni leo katika azimio la kuwafukuza Wabunge wa upinzani toka CHADEMA Bi Halima Mdee na Bi Esther Amos Bulaya ni kuonyesha kwamba Bunge chini ya Ndugai hawajui kama CHADEMA wana msiba mkubwa wa mwasisi wa chama chao Mbunge mstahafu ndugu Philemon Ndesamburo!

Hii imedhihirisha kuwa CCM wanawachukia wapinzani hasa CHADEMA na wanatamani hata leo hii Wabunge wote wa CHADEMA wapukutike wote!
Haiwezekani Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge itoe mapendekezo ya adhabu hii kwa Wabunge hawa 2 walioko kwenye msiba huu mkubwa?

Nimesikiliza mapendekezo ya Kamati iliyoungwa mkono na asilimia kubwa ya Wabunge wa CCM! Inasikitisha kwamba Spika Ndugai na Mwenyekiti wa Kamati Mzee George Mkuchika hawakugusia chanzo cha tatizo lililopelekea vurugu hizo! Mbunge wa CCM aliwasha mic na kusema MNYIKA MWIZI,lakini si Spika wala Mkuchika aliyeonyesha juhudi za kumsaka huyo Mbunge wa CCM aliyeropoka hayo maneno! Spika anasema hawezi kuwa na masikio 100 ya kusikia kila Mbunge anachosema!!!Huu ni uongo wa Ndugai na ameonysha double standard, maana hayo maneo yangelisemwa na Mbungevwa upinzani leo asingelikuwa Bungeni! Mwenyekiti anadai kuwa swala la kujua chanzo au Mbunge aliyemwita Mnyika Mwizi haikuwepo kwenye hadidu za rejea!! This is rubbish! Kamati inasema iliangalia mkada wa video ili kujiridhisha kwa makosa ya hao Wabunge,inashangaza kuwa Kamati haikuona yote yaliyotamkwa na kichaa wao Lusinde na huyo aliyemwita Mnyika mwizi!!
Namaliza kwa kushauri Bulaya na Mdee waende Mahakamani maana haiwezekani Bunge liwe ni kila kitu! Kama Polisi wanakamata Mbunge na kumsweka Rimande na kushtakiwa Mahakamani iweje Mbunge akienda kulalamika Mahakamani aambiwe Mahakama haina mamlaka hayo??
Je, hivi leo ikitokea Mbunge akapigwa na Mbunge mwenzake wakiwa ndani Bunge akapoteza uhai, Bunge kwa kutumia Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge wana uwezo wa kusikiliza murder au manslauter case??
Mdee,Bulaya na Mnyika tafuteni Haki yenu Mahakamani, Bunge is not a final judiciary machinery!!!
unaelewa uhuru wa mihimili ya serikali?
 
Kama Chadema wenyewe hawakuonesha nidhamu au subira kumuenzi Mzee Ndesa ulitegemea CCM ndio wamuezi?

Yaani Mnyika alitaka Bunge lisimamishe Shughuli zake ili kumtafuta Mbunge aliemwita Mwizi? Mpaka Leo yeye hajamjua aliemwita Mwizi lakin anamlaumu Ndugai!
 
Kama huyo Speaker alipata ubunge Kwa kumpiga mtu na fimbo bado tukaona anafaa kuwa Speaker, basi tumeleta laana katika Muhimili huu Muhimu.

Thinktz01,
Unayosema ni kweli tatizo ni mfumo uliooza chini ya Utawala wa CCM! Job Ndugai hakustahili hata kwa nukta kuwa Spika wa Bunge la Tanzania. Hana sifa,hana busara, hana hikma lakini pia huyu jamaa ana ugonjwa wa sonono!
Kama Spika ameshindwa kuheshimu na au kuthamini uhai na michango ya Mbunge mstahafu aliyetutoka Marehemu Philemon Ndesamburo basi Taifa hili linaongozwa na vihiyo wasiojua wajibu na mipaka yao ya kazi!!!
 
Tabu yenu mnapenda kulalamika, aliyeitwa mwizi anajua taratibu za kufuata kwa hilo kuwekwa mezani.

Na pia lugha ya kutukana wabunge au viongozi ndio tabu kubwa kwenu upinzani.

Na haya mambo mnavyopenda kuyakuza yaani msahau kuingia Ikulu kwa kuteteana katika maovu bila ya kukemeana na kufundishana mazuri.

Leo wameelezea vizuri tu juu ya hatua walizochukua hadi hao wanawake kuvufa mashati ya polisi, hilo kwenu ni ugangwe na ushindi ila kwa sheria ni lazima wapatiwe adhabu... na Spika katoa tahadhari leo juu ya yatakayofuata wakileta chokochoko.

Hakima katweet leo kusema ya bungeni leo ni porojo!!!!!!!
 
Ila tukumbuke HAYATI NDESAMBURO hakuenda hata uwenyekiti wa chama aliokuwa nao ameenda tuu kama alivyoondoka Ngosha,hata kuwanyima uwanja wa kumuaga hakumuhusu.Ila tukumbuke unaweza kuwa na ubabe kama Speaker ila kidole tuu kikaamua kukunyanya na ukawa mdogo kama mbegu ya haradite na mpole kama haupo tusisahau.Ila njia yetu ni moja nashimo letu ni moja iwe Ndesamburo Hour8 Ngosha na kaburi ni lilelile hata kama litajengwa kwa dhahabu, chamuhimu utu na kuheshemiana ubabe hausaidi leo umbabe keshe lahaula hivi nifulani, tuache.
 
Tabu yenu mnapenda kulalamika, aliyeitwa mwizi anajua taratibu za kufuata kwa hilo kuwekwa mezani.

Na pia lugha ya kutukana wabunge au viongozi ndio tabu kubwa kwenu upinzani.

Na haya mambo mnavyopenda kuyakuza yaani msahau kuingia Ikulu kwa kuteteana katika maovu bila ya kukemeana na kufundishana mazuri.

Leo wameelezea vizuri tu juu ya hatua walizochukua hadi hao wanawake kuvufa mashati ya polisi, hilo kwenu ni ugangwe na ushindi ila kwa sheria ni lazima wapatiwe adhabu... na Spika katoa tahadhari leo juu ya yatakayofuata wakileta chokochoko.

Hakima katweet leo kusema ya bungeni leo ni porojo!!!!!!!
mkuu,usipoteze calories zako kuelimisha majitu ya hovyo hovyo kama haya ya Chadema.
 
Kama Chadema wenyewe hawakuonesha nidhamu au subira kumuenzi Mzee Ndesa ulitegemea CCM ndio wamuezi?

Yaani Mnyika alitaka Bunge lisimamishe Shughuli zake ili kumtafuta Mbunge aliemwita Mwizi? Mpaka Leo yeye hajamjua aliemwita Mwizi lakin anamlaumu Ndugai!

Pohamba,
Tanzania belongs to all Tanzanias! Hii nchi si ya CCM wala ya Magufuli ni yetu sote! Kilichofanyika Bungeni ni double standards! Mbona siku ile Ndugai alipoitwa 'Fwaala' alimtambua Mbunge aliyemwita hivo? Iweje Mbunge aliyemwita Mnyika 'Mwizi'
hakutambuliwa kwa madai ati Spika hana masikio mia moja ya kusikia kila kitu? Kama hawezi kusikia,kuona na kuchukua hatua kumbe kazi yake nini anapokuwa amekaa kwenye kiti???
 
Haka kuna wakati kalikuwa mchepuko wa kijana wangu fulani wa karibu,kakawa kanataka ili apate mambo,basi aokoke na kijiunga na kwaya!!Jamaa akaamua kuwa "born again" wa kanisa la kilokole pale Mabibo Farasi....

Nikitazama pale bungeni kanavyoongea,yaani unaona kabisa,siasa na ulokole ni unafiki mtupu.Hii tabia ndio anayo yule bwana mdogo Kingu wa Singida

Shida yako barafu na wewe unapenda kusema ukweli mpaka unaudhi. Si hata ukaushe kidogo jamaa yangu?
 
Pohamba,
Tanzania belongs to all Tanzanias! Hii nchi si ya CCM wala ya Magufuli ni yetu sote! Kilichofanyika Bungeni ni double standards! Mbona siku ile Ndugai alipoitwa 'Fwaala' alimtambua Mbunge aliyemwita hivo? Iweje Mbunge aliyemwita Mnyika 'Mwizi'
hakutambuliwa kwa madai ati Spika hana masikio mia moja ya kusikia kila kitu? Kama hawezi kusikia,kuona na kuchukua hatua kumbe kazi yake nini anapokuwa amekaa kwenye kiti???
Spika alimtambua Mwenyewe aliemtukana kwanini Mnyika halaumiwi kwa kutomtambua aliemtukana lakin analaumiwa Spika!

Wewe ulitaka Spika afanyeje Kama Mlalamikaji Mwenyewe hamjui mtuhumiwa wake? Yaan Bunge Zima lisimamishe Shughuli zake kumtafuta Mtukanaji?

Kama Mpaka Leo Chadema wenyewe hamumjui Mtukanaji inakuaje alaumiwe Spika au Mlitaka atoe adhabu Bila ya kumjua
 
Yale yaliyotokea Bungeni leo katika azimio la kuwafukuza Wabunge wa upinzani toka CHADEMA Bi Halima Mdee na Bi Esther Amos Bulaya ni kuonyesha kwamba Bunge chini ya Ndugai hawajui kama CHADEMA wana msiba mkubwa wa mwasisi wa chama chao Mbunge mstahafu ndugu Philemon Ndesamburo!

Hii imedhihirisha kuwa CCM wanawachukia wapinzani hasa CHADEMA na wanatamani hata leo hii Wabunge wote wa CHADEMA wapukutike wote!
Haiwezekani Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge itoe mapendekezo ya adhabu hii kwa Wabunge hawa 2 walioko kwenye msiba huu mkubwa?

Nimesikiliza mapendekezo ya Kamati iliyoungwa mkono na asilimia kubwa ya Wabunge wa CCM! Inasikitisha kwamba Spika Ndugai na Mwenyekiti wa Kamati Mzee George Mkuchika hawakugusia chanzo cha tatizo lililopelekea vurugu hizo! Mbunge wa CCM aliwasha mic na kusema MNYIKA MWIZI,lakini si Spika wala Mkuchika aliyeonyesha juhudi za kumsaka huyo Mbunge wa CCM aliyeropoka hayo maneno! Spika anasema hawezi kuwa na masikio 100 ya kusikia kila Mbunge anachosema!!!Huu ni uongo wa Ndugai na ameonysha double standard, maana hayo maneo yangelisemwa na Mbungevwa upinzani leo asingelikuwa Bungeni! Mwenyekiti anadai kuwa swala la kujua chanzo au Mbunge aliyemwita Mnyika Mwizi haikuwepo kwenye hadidu za rejea!! This is rubbish! Kamati inasema iliangalia mkada wa video ili kujiridhisha kwa makosa ya hao Wabunge,inashangaza kuwa Kamati haikuona yote yaliyotamkwa na kichaa wao Lusinde na huyo aliyemwita Mnyika mwizi!!
Namaliza kwa kushauri Bulaya na Mdee waende Mahakamani maana haiwezekani Bunge liwe ni kila kitu! Kama Polisi wanakamata Mbunge na kumsweka Rimande na kushtakiwa Mahakamani iweje Mbunge akienda kulalamika Mahakamani aambiwe Mahakama haina mamlaka hayo??
Je, hivi leo ikitokea Mbunge akapigwa na Mbunge mwenzake wakiwa ndani Bunge akapoteza uhai, Bunge kwa kutumia Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge wana uwezo wa kusikiliza murder au manslauter case??
Mdee,Bulaya na Mnyika tafuteni Haki yenu Mahakamani, Bunge is not a final judiciary machinery!!!

Mbona Kubenea alikuwepo mjengoni, naye hakuwa na taarifa za msiba?
 
mkuu,usipoteze calories zako kuelimisha majitu ya hovyo hovyo kama haya ya Chadema.

Unajua kuna principal moja ya mwanadamu akishafanya madudu yake inaitwa," Guilty consciousness"
Spika Ndugai,George Mkuchika na Juliana Shonza na Mafisccm wote wanajua walichofanya si sahii mbele za Mungu na mbele za Watz! Mtajifaragua kwa kutumia ubabe lakini hili mnalo na iko siku you gonna pay. Mungu si athumani wala abdalla na hamfichi mnafiki!
 
Tabu yenu mnapenda kulalamika, aliyeitwa mwizi anajua taratibu za kufuata kwa hilo kuwekwa mezani.

Na pia lugha ya kutukana wabunge au viongozi ndio tabu kubwa kwenu upinzani.

Na haya mambo mnavyopenda kuyakuza yaani msahau kuingia Ikulu kwa kuteteana katika maovu bila ya kukemeana na kufundishana mazuri.

Leo wameelezea vizuri tu juu ya hatua walizochukua hadi hao wanawake kuvufa mashati ya polisi, hilo kwenu ni ugangwe na ushindi ila kwa sheria ni lazima wapatiwe adhabu... na Spika katoa tahadhari leo juu ya yatakayofuata wakileta chokochoko.

Hakima katweet leo kusema ya bungeni leo ni porojo!!!!!!!
Mnapenda neno kuingia IKULU,kwa namna zenu
 
Mbona Kubenea alikuwepo mjengoni, naye hakuwa na taarifa za msiba?

Hivi bwana Copper,
Mkifiwa nyumbani kwenu ukoo wote huwa mnasafiri kwenda msibani? Lazima kuna watu watateuliwa kuwakilisha wenzao na ndiyo utaratibu!
 
Mle bungeni kuna mtu alitamka neno "fala"....mbona kilinuka.
Ila alipokuja mwenzetu kutamwaka neno " mwizi tukapotezea.
 
Back
Top Bottom