Frey Cosseny
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 1,984
- 1,405
Kumbe mnaongea Maneno matupu kama Rais wa Mashoga TLNyie c mnayo ile SISITV yenu basi ileteni tudukue
Mzee wa bakora anataka amtwange mbunge wake bakora!Hii ni Katika ule muendelezo wa kauli ya Spika kumtaka lissu arejee nchini kutokana na kwamba hana kibali cha kuishi nje ya nchi,la sivyo atajikuta yupo nje ya uwanja.sasa hivi spika anasema "Lissu asubiri muziki wangu" huku TL naye akijibu mapigo "usijaribu kuuzima moto kwa petroli,utapotea"
Je,nini kitatokea Lissu ataucheza muziki wa Spika au Ndugai atapotea kwa moto wa petroli wa TL? usikose toleo lijalo....
View attachment 1001634
SISIS usimuachie huyu pimbi ISIS hata kiduchu mkabe hivohivo mpaka ajitambue. tunakuongezea dauKwendraaaaa kijana mdogo usie na aibu, utaolewa tu lazima wewe walahi
Kwa hii tabia yako, lazima umewekwa ndani kimada kajames d kengine walahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Ndugai sasa akaimbe taarabu!Hii ni Katika ule muendelezo wa kauli ya Spika kumtaka lissu arejee nchini kutokana na kwamba hana kibali cha kuishi nje ya nchi,la sivyo atajikuta yupo nje ya uwanja.sasa hivi spika anasema "Lissu asubiri muziki wangu" huku TL naye akijibu mapigo "usijaribu kuuzima moto kwa petroli,utapotea"
Je,nini kitatokea Lissu ataucheza muziki wa Spika au Ndugai atapotea kwa moto wa petroli wa TL? usikose toleo lijalo....
View attachment 1001634
Hati ya kusafiria ilikua inakaa miaka 5, ila baada ya 2006 ikawa inakaa miaka 10 sasa anajaza vipi mihuri wakati amebadili hati ya kusafiria mara nyingi?Lissu hawezi kufikia uwezo wa Kujieleza wa Sultan Seif Sharif Hamad
Lissu hawezi kufikia umaarufu wa Sultan Seif kimataifa
Lissu hawezi Kuwa Na Wafuasi wengi wa kufikia Sultan Seif
Lakin Sultan Seif kaanza kuzunguka kimataifa kwa robo karne (1992-2017) akichafua Taifa Kwenye macho ya Mabeberu
Kama kuna kitu kafanikiwa Sana Basi Ni mambo Mawili tu
1) Kumaliza soli Za Viatu
2) kUjaza mihuri Kwenye hati yake ya kusafiria
Hii ni Katika ule muendelezo wa kauli ya Spika kumtaka lissu arejee nchini kutokana na kwamba hana kibali cha kuishi nje ya nchi,la sivyo atajikuta yupo nje ya uwanja.sasa hivi spika anasema "Lissu asubiri muziki wangu" huku TL naye akijibu mapigo "usijaribu kuuzima moto kwa petroli,utapotea"
Je,nini kitatokea Lissu ataucheza muziki wa Spika au Ndugai atapotea kwa moto wa petroli wa TL? usikose toleo lijalo....
View attachment 1001634
mbaya zaidi hawamuwezi mahakamani wala mjengoni,wanamuweza kwa pyu pyu pyu(kwa sauti ya Sugu)Ninaona viongozi wote wa Serikali ya Magufuli inahaha namna ya kumdhibiti Mh.Tundu Lissu! Niliwahi kusema, Damu ya Mh.Lissu itaw, atafuna kila mmoja kwa namna yake ya kipekee.
Mungu ni mwenye Nguvu, amekwisha ulaani utawala huu wa Kigaidi, ssa mambo hayaendi! Viongozi wamebaki wakibwata bila weledi wowote. Tundu Lissu ni sauti iliayo nyikani, itawasambaratisha vikali!
Ni aina gani ya uongozi inayoamini ktk kuteka, kutesa na kuua wananchi wasiyo na hatia!?