johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Hiki ni kilio cha mbunge wa Kongwa ambaye pia ndio Spika wa bunge la JMT mh Ndugai.
Tanesco heshimuni maeneo wanayotoka viongozi wakuu, hayo ni maoni yangu!
---
KONGWA UMEME ULIKUWA UNAKATIKA MARA 30
“Kuna wakati kule Kongwa umeme unakatika mara 30 kwa siku moja au zaidi, yani ni kitu cha kawaida umeme kukatika sasa lazima tutoke huko na jukumu hili ni la kwako pia (January Makamba) na hatuwezi Kuwa na maendeleo bila Nishati. - Spika, Ndugai.
Tanesco heshimuni maeneo wanayotoka viongozi wakuu, hayo ni maoni yangu!
---
KONGWA UMEME ULIKUWA UNAKATIKA MARA 30
“Kuna wakati kule Kongwa umeme unakatika mara 30 kwa siku moja au zaidi, yani ni kitu cha kawaida umeme kukatika sasa lazima tutoke huko na jukumu hili ni la kwako pia (January Makamba) na hatuwezi Kuwa na maendeleo bila Nishati. - Spika, Ndugai.