Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,273
- 11,773
Ni wivu tuNdugai mbona yuko too obsessed sana na Mbowe!
Naona yule bundi alisha kamilisha kazi yake.Ndugai akisikia Mbowe anatetemeka kabisa.
Wewe unaona alichokisema Ndugai ni sahihi mkuu?Ndugai akisikia Mbowe anatetemeka kabisa.
Kama ni sadaka hiyo bahasha imenonaNdugai alishasema ana file Mirembe pale sasa mnategemea aongee vitu vyenye mantiki?View attachment 1750688
Ndugai kumbukumbu zilishamtoka siku nyingi. Anachojua yeye ni kusema hivi: "Atake asitake lazima tumuongezee muda wa Urais. Haiwezekani mtu anawafanyia kazi nzuri halafu eti mbanwe na makaratasi tu yanayoitwa katiba. haiwezekani.Ndugai kuna uwezekano mkubwa aliibiwa kimwana na Mbowe ,
Kila alhamis nani akiyekua anamuuliza waziri Mkuu maswali ya kwanza?
🤣🤣🤣... Jamaa anamuhanya Mbowe kinoma.Ndugai kuna uwezekano mkubwa aliibiwa kimwana na Mbowe ,
Kila alhamis nani akiyekua anamuuliza waziri Mkuu maswali ya kwanza?
Hatuna Spika pale. Tuna Snura yule.Spika nae kazidi mipasho kama mwanamama
Huwa anajisikia inferior mbele ya Mbowe na kwamba Dunia na Taifa linapata attention kubwa Mbowe anapoongea jambo.Ndugai mbona yuko too obsessed sana na Mbowe!
Kwanini unaona wivu Mbowe kupewa hshima anayopewa? Unataka hiyo heshima anayopewa Mbowe apewe nani?Mbowe usirudi tena bungeni uliturostisha sana wana hai. Mbowe hastahili kupewa heshima anayopewa.
Liko wazi anamuogopa na kumchukia MboweWewe unaona alichokisema Ndugai ni sahihi mkuu?
Mbona hajasema kwenye jimbo la Ruangwa, na majimbo yote wanakotoka mawaziri nani anawasemea au jimbo lake yeye mwenyewe ambako hali si hali si unaona kabisa huyu mtu ana chuki tu Mbowe
Kila mja apate kinamchostahili.Kwanini unaona wivu Mbowe kupewa hshima anayopewa? Unataka hiyo heshima anayopewa Mbowe apewe nani?
Mama yako akikusikia, shauri yakoMbowe usirudi tena bungeni uliturostisha sana wana hai. Mbowe hastahili kupewa heshima anayopewa.