Spika Ndugai awaapisha Wabunge wateule wa ACT-Wazalendo. Mbunge wa ACT asema masuala ya Tanzania yatazungumzwa Tanzania na sio nje ya nchi

Haahaa zitto sura yake ataweka wapi? Maana aliamniwa alikwenda kuzuia fedha za elimu nje
 
Kilichofanyika na ACT mtanzania anayejitambua hawezi kuwaunga mkono.Hiki chama haeleweki kinapigania nn
 
Hivi hakuna namna wapinzani nao wakajitangaza washindi wakawaita ccm waje wafanye nao maridhiano, au hii iko upande mmoja tu...
 
Kama ni kweli ni nani alipeleka malalamishi ACc???????? Si ni ACT hiyo hiyo ama ni nyingine???
Inaonekana wala hajui anachosema! Hiyo yote ni pesa inawadanganya!!!
 
Sasa hivi unacomment kinyonge sana. Ngoja nikukumbushe kipindi kile ulivyokuwa
"Mwaka huu hatutakubali"
"Lissu ndio dawa yenu"....
Na sasa umoja wa ulaya watoa msaada mabilioni kusaidia sector ya umeme, sijui anajisikiaje huko anakopishana nao makoridoni
 
hao wabunge watakuwepokuwepo tu mjengoni wala hawatakuwa na amshaamsha,hao wapo kukidhi akidi fulani hivi ionekane kuna wapinzani.
 
Kwasababu tunawanasiasa wapumbavu ukimtoa Lissu na wachache baadhi Yao CCM itaendelea kuwaonea watanzania kwa kipindi kirefu Sana na pia kwasababu watanzania wengi ni wajinga watabaki maskini kwa miaka dahari.
Mpumbavu ni wewe usiejua hata kuandika
 
Sasa mbona Lisu na Chadema mlitelekeza hadi mgombea uraisi wenu zanzibar mkajiunga na Act wazalendo kwa nini?
He na sasa uyo mgombea wao urais hakusikiliza agizo la chama cha akijipigia kampen ya urais eti apate 5% vote badae achaguliwe uwaziri kule zanzibar, na alikuwa akipigia kampenzi mbunge wa ccm
 
Back
Top Bottom