Spika Ndugai ana personality disorder?

Umesomeka Mkuu
 
Na ilposikika sauti ya "atolewe nje huyo" Supika alisikia, na akaamuru mubunge atolewe![emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Reactions: SDG
Na alisema Dont dare me Mnyika akajibu am not daring you! Akasema ,"Toeni huyu mtu nje" sio Mtoeni Mheshimiwa Mnyika no! Halafu akawaita Wale askari , "Nyie askari gani nyie?"
Kwa kweli una masikio mazuri.
 
Reactions: SDG

Kwann usidhani saikolojia pia ndiyo iliyomhukumu Mnyika?Au ni spika peke yake ndiyo mwenye moyo wa nyama?Unadhani ni wangapi kati ya kumi wangekaa kimya kuitwa mwizi tena kwa kutajwa jina?
 
UKISOMA VIZURI DSM 5 UTAGUNDUA KWA KIFUPI HAKUNA MTU ASIE NA PERSONALITY DISORDER

YASOMENI MAANDIKO .
 
Reactions: SDG
Na alisema Dont dare me Mnyika akajibu am not daring you! Akasema ,"Toeni huyu mtu nje" sio Mtoeni Mheshimiwa Mnyika no! Halafu akawaita Wale askari , "Nyie askari gani nyie?"
Halafu baada ya wabunge kutoka,akasema Lusinde kiboko,amewakimbiza wapinzani wamekimbia!
 
Reactions: SDG
Kwann usidhani saikolojia pia ndiyo iliyomhukumu Mnyika?Au ni spika peke yake ndiyo mwenye moyo wa nyama?Unadhani ni wangapi kati ya kumi wangekaa kimya kuitwa mwizi tena kwa kutajwa jina?
Fikiria pia ni kiongozi gani angefurahia anaowaongoza kutotii amri zake na kumdharau?
 

So kuheshimu kiti ni pamoja na kusikiliza kila anachosema spika?? Why, kwa sababu yeye ni malaika?? Au kwa sababu yeye ni ccm??
Acha unazi, unadhani kauli ya mwizi ingetolewa na mpinzani hali ingekuwaje???
 
Reactions: SDG
Spika kuambiwa fala kwenye mic ni kosa la jinai lakini Mnyika kuitwa Mwizi kwenye mic hiyohiyo spika anasema hana muda wa kusikiliza kila kinachosemwa mara maneno hayako kwenye hansard ila fala aliyasikia typical double standard benaviour!
Kumtetea Ndugai kwa kilichotokea ni kuzidi kulidhalilisha Bunge. Ndugai sio Mungu ni binadamu wa kawaida sana, heshima ya ninadamu hatokani na cheo chake, bali inatokana na matendo yake. Jambo muhimu lililopaswa kufanywa na Spika mwenye hekima na anayestahili kuheshimiwa, ilikuwa ni kusymphathy na Mnyika, kwa sababu hata kama Ndugai hana masikio mia,lakini tusi lililoelekezwa kwa Mnyika kwamba ni mwizi "lilisikika mno". Kwa hiyo ambacho angefanya, hata kama hapendi, angeahidi kufanyika kwa uchunguzi kuona ni nani kamtukana, basi, hapo Mnyika na wabunge wengine wangeridhika na shughuli zingeendelea kama kawaida.

Spika mwenye hekima na akili, angetambua mapema kwamba mzungumzaji aliyekuwa akiendelea kuzungumza (kibajaji) alikuwa ameishalitibua Bunge upande wa wapinzani, kwa hiyo alichokifanya dhidi ya Mnyika kilipokelewa kama mkakati wa kishetani wenye dhamira wa kuwadhalilisha wabunge wa upinzani, jambo ambalo sio rahisi kuvumiliwa. Sasa wewe unataka Spika Ndugai avumiliwe kwenye mazingira kama haya? Ndugai anapaswa kuonyeshwa na kuelezwa wazi wazi kuwa alikosea, tena sana!
 

Kwa logic yako, Mnyika nae ni binadamu na usimlaumu kwa kutaka alie mwita mwizi awajibishwe tena bila miasira.
 
Fikiria pia ni kiongozi gani angefurahia anaowaongoza kutotii amri zake na kumdharau?

Kufurahishwa au kuchukizwa na reaction yako ni kipimo cha ustahimiivu na ukomavu wa kiongozi!Spika ana disorder,mara ngapi Tulia Ackson ameoneshwa dharau lakini kabaki kwenye utulivu ma kutumia sheria kuwachapa waliomdharau?Ndugai ana disorder,ndio maana alimpiga fimbo kicjwani mwenzake mpaka akazimia!
Ninachokipinga kwako ni kutoa excuse kwa Spika kwa kupanic wakati huo huo ukizuia hiyo excuse isitumike kwa Mnyika!
Nasema Mnyika alikosea lakini Spika alikosea zaidi!Mpaka akatoa adhabu ambazo hana mamlaka nazo,kumhukumu mtu kutohudhuria vikao wiki nzima si mamlaka yake!
 
Reactions: SDG
Ndungai simwelewagi toka amzimishe na rungu mwenzie
 
Reactions: SDG
Kwa logic yako, Mnyika nae ni binadamu na usimlaumu kwa kutaka alie mwita mwizi awajibishwe tena bila miasira.

Sasa hapa mbona lawama zote zinaelekezwa kwa Ndugai?
Mara nyingine busara inabidi ifichwe ili mambo yasizidi kuharibika. Pia fahamu kwamba sehemu rasmi yenye mkusanyiko rasmi wa watu lazime kuwe na superior na subordinate. Kiti cha Spika kinaongozwa ma kanuni, sio busara. Spika alipomwambia mnyika azime mike na akae alipaswa atii pasipo kuhoji, maana ile ilikuwa ni amri ya spika kwenda kwa subordinate wake ambaye ni mbunge katika kikao cha bunge.
Kwa nini basi usimtendee kiongozi wako kinachostahili?
 
Wewe ni mgumu kuelewa na ngoja tu nikujibu hivyo hivyo!Unachosema hapa spika hapaswi kuwa na busara,cha msingi azijue kanuni!Lakini kumbuka pia katika kanuni,kuna kanuni ambazo zimempa yeye binafsi ya kutoa uamuzi kadri atakavyoona inafaa,sasa hapo kama hana busara tutegemee maamuzi gani?
Kwa mara nne nasema Mnyika alikosea,lakini spika alikosea zaidi!Kaonesha udhaifu mkubwa,kiufupi ni short tempered!Spika anajisahau na kujiingiza kwenye ushabiki,ili ujue alitoka nje ya mstari,angalia alivyomsifia Lusinde yeye ni kiboko mpaka amewakimbiza wabunge ukumbini!
Huu mjadala na wewe haufiki popote,nimeona comment yako moja juu kwamba uko hapa kumtetea spika so no matter what facts you get,bado utaendelea na kazi yako!
 
Hakika sijaona kosa alilofana spika Job Ndugai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…