Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Spika wa Bunge Job Ndugai katika mjadala unaohusu viboko kwa wanafunzi shuleni, ameunga mkono viboko hivyo huku akikumbushia alivyomchapa mtu viboko wakati wa uchaguzi mwaka 2015
Spika wa Bunge Job Ndugai katika mjadala unaohusu viboko kwa wanafunzi shuleni, ameunga mkono viboko hivyo huku akikumbushia alivyomchapa mtu viboko wakati wa uchaguzi mwaka 2015
Spika wa Bunge Job Ndugai katika mjadala unaohusu viboko kwa wanafunzi shuleni, ameunga mkono viboko hivyo huku akikumbushia alivyomchapa mtu viboko wakati wa uchaguzi mwaka 2015
Spika wa Bunge Job Ndugai katika mjadala unaohusu viboko kwa wanafunzi shuleni, ameunga mkono viboko hivyo huku akikumbushia alivyomchapa mtu viboko wakati wa uchaguzi mwaka 2015
Kidogo afe, ila yule mwanamama wa ccm alivuliwa nguo mpaka najisikia vibaya utafikiri ni mke wangu, nadhani hata wakina mama huwa anawaambia hivyohivyo kuwa hata mimi huwa nawavua nguo hadharani wanawakeKwani alipona?