Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327

Clowns at their best.

Acha waendelee kuifisidi nchi. Wanadai wanaimarisha uchumi huku wamekataa katakata kuhakikisha uwepo wa misingi imara ya usimamizi wa serikali.

Ndugai na bunge lake si chochote mbele ya Rais na mawaziri.
 
Nini maana ya makao makuu ya serikali kuwa Dodoma? na hiyo siyo maneno ya blah blah ni sheria......Dar ni commercial capital kama ilivyo Lagos kule Nigeria kadri watu wanavyoendelea kukamuliwa tozo ndo na safari za vigogo Dar-Dom, Dom-Dar zinavyoongezeka. Swali lililoulizwa hapa ni nani ana control government expenditure?
Kuna watu mliamua kujisajili kwa ujinga wa mwendazake. Dodoma ni seat of Government kama ilivyo Pretoria au Den Haag, na kwingineko. Dar es Salaam ni capital city, kama ilivyo Johannesburg, Amsterdam, Capetown, Bloemfontein na kwingineko.
 
Watajuana wenyewe majizi hayo
Unadhani wanajali mkuu? Kwa hili namuunga mkono Ndugai kwa sababu kwa sasa hivi ni kama serikali ina ofisi mbili, Dodoma na Dar na gharama zote hizi ujue ni hizi hizi tozo unazokamuliwa. Wenyewe wanakwambia ukikipata kitumie maana hujui utatumbuliwa lini...
 
OVER 99% COUNTRIES WORLDWIDES STATE CITIES ZIPO PEMBEZONI MWA BAHARI ZIPO SABABU ZA KIUSALAMA HAPA NA SI BLAH BLAH.
Nairobi, Beijing na Pretoria? Wewe kichwa maji umekariri dar! Huko kujazana na kunuka mijasho kwenye madaradara! Dodoma ndo inafaa! Viongozi kili kubwa kama magu ndo wanafanya vitu vya kuonekana hao wanaojipendekeza kwa wananchi hamna kitu unafiki tu!
 
Unadhani wanajali mkuu? Kwa hili namuunga mkono Ndugai kwa sababu kwa sasa hivi ni kama serikali ina ofisi mbili, Dodoma na Dar na gharama zote hizi ujue ni hizi hizi tozo unazokamuliwa. Wenyewe wanakwambia ukikipata kitumie maana hujui utatumbuliwa lini...
Ninacho kifikiri binafsi (namuunga mkono sana Spika Ndugai kwa hili ) ni kwamba viongozi wetu wanatunaga sisi wananchi ni mafala sana, yaani wanaongeza KODI kwenye bidhaa mbalimbali tunazozitumia, ile pesa inayokusanywa badala ya kuitumia vizuri wao wanachezea tu zile pesa, wangekua wanaongoza nchi za watu wenye AKILI lazima kingewaka but hata kama wanatudharau, basi walau watuonee hata HURUMA, pesa tunakusanya ni nyingi sana, matumizi ndio ya HOVYO namna hiyo, very sad
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Ni walewale waliozuia matumizi kufuru kwenye matibabu yake huko India yasihojiwe, wanaendelea kwa taratibu zenu zilezile.
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Soon a murky coup may storm the throne; you must be very cautious when you see the tree branches swinging by the whirlwind exertion.

Singing and crying by unpredicted different tongues at the time being rather the mission is about to climax at its fading crown.

All patriotic Tanzanians are appealed irrespective of their difference to pray to the Almighty God to avoid the possible national catastrophe that may disrupt everything in place and making livelihoods by normal citizens devastated. Let's refrain from causing this to happen in Tanzania as this kind of tension is not the nation's core values to be cherished.
 
Clowns at their best.

Acha waendelee kuifisidi nchi. Wanadai wanaimarisha uchumi huku wamekataa katakata kuhakikisha uwepo wa misingi imara ya usimamizi wa serikali.

Ndugai na bunge lake si chochote mbele ya Rais na mawaziri.
Kuna taasisi moja ya Umma, Officer attendant analipwa salary ya 2.7m per month, Hii Nchi Inapigwa Sana Kumamae
 
Mimi nitaenda jela kwa ajili ya kukwepa kodi siwezi lipa pesa watu wanaitumia kiulaini halafu hawajali chochote
 
Nauona mnara wa babeli

Bwashee mkumbushe Ndugai kuwa Rais ndiye anayeamua makao makuu ya nchi yawe wapi kwa wakati gani. Kesho akiamua kuitisha kikao cha baraza la mawaziri (JMT) pale Kisiwandui au Kilindoni yote ni heri; hahojiwi.

Halafu matumizi ya serikali hayamhusu pia. Rais ana maono na hekima za kutosha.
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
ukweli Dodoma bado haina hadhi ya kua makao makuu sema tu siasa ndio zilizotufikisha hapo.Unaenda mtumba watu wapo tu hawana kazi za kufanya mfano ni wizara ya ardhi,uchukuzi,fedha watumishi wanalipwa mishahara bila kazi za kufanya.Angalau watu wa Tamisemi ndio wako busy kwa kua shughuli zao ni za kiutawala zaidi.
 
nchi hii kwa sasa haina muelekeo. kila mtu anafanya anavyojisikia, rais yupo kimya hafuatilii mambo. kwa hali hii tozo haziwezi ondolewa maana miradi inatakiwa iende na watu walipane posho za kutosha
 
Back
Top Bottom