nmejiuliza hili swali zamaani saaana kamati zinakuja na wanatuhumiwa kwenye masakata mbalimbali ila mwisho wa siku wanaibuka kidedea hawana hatia,je kamati zimeudanganya uma na aliyeziteua?? na kwa manufaa ya nani?? why hawashikwi?? na kama kamati zimedanganya mbona haziwajibishwi??Kutuhumiwa si kuzuri kwa kiongozi mkuu kama Chenge. Ripoti imemhusisha tayari, kwani ripoti ya tume imedanganya?. Mh. Chenge lazima akae pembeni ili uchunguzi juu yake usiwe na ukakasi.
nmejiuliza hili swali zamaani saaana kamati zinakuja na wanatuhumiwa kwenye masakata mbalimbali ila mwisho wa siku wanaibuka kidedea hawana hatia,je kamati zimeudanganya uma na aliyeziteua?? na kwa manufaa ya nani?? why hawashikwi?? na kama kamati zimedanganya mbona haziwajibishwi??Kutuhumiwa si kuzuri kwa kiongozi mkuu kama Chenge. Ripoti imemhusisha tayari, kwani ripoti ya tume imedanganya?. Mh. Chenge lazima akae pembeni ili uchunguzi juu yake usiwe na ukakasi.
Kwa Ccm wanavyo lindana hii ngoma itapita kimya kimya na Chenge atakuwa mwenyekiti hadi muda wake uishe.picha limeanza ngoja nitayarishe copcon, ili niwe naangalia huku natupia
Teh teh teh. Jf ina-comment hii! Joker LA makengezer ndiyo joker gani hilo?Unayosema ni kweli kabisa, lakini mchakato wa kumshughulikia joker LA makengezer utasababisha kuchafuliwa sana kwa hali ya hewa na vumbi jingi kutimka! Hata kama mwisho wa siku joker likatiwa hatiani lakini wakubwa hawako tayari kuona hali ya hewa inachafuka kivile na kulazikmika kutumia nguvu ya ziada kuwalinda wazee waendelee kupumzika! Hilo wazee hawatalipenda!
Joker lilikuwa katika nafasi ya kujua na kushiriki mambo ya ndani sana! Its a black mail of some kind!