Gwisya boy
Member
- Nov 13, 2011
- 8
- 1
Mbunge la Mh. Sita lilikuwa na mvuto kwa sababu alikuwa hajali masilahi ya ccm, lakini huyu mama hana lolote, anakataa hoja ya upinzani halafu anaruhusu wabunge kuacha kujadili katiba na kuanza kumjadili Lisu, kafulila na wapenda nchi wote.