Hii inamaanisha "Siri ya mtungi, aijuae kata." Sasa hapo sijui nani mtungi na nani ni kata????????Wakati wengine wakiwa kwenye msiba,tulia yeye katuma kijembe kwa njia ya mafumbo.
Kwa sisi tuliosoma mjini Isla de la Juventud, Cuba tumeelewa. Siri ya mtungi aijuaye kata.Wakati wengine wakiwa kwenye msiba,tulia yeye katuma kijembe kwa njia ya mafumbo.
Si angejamba tu kuliko kutapikaMoyoni ana jambo lakini hawezi kulitapika