Spika Makinda Press Conference Live!.

Spika Makinda Press Conference Live!.

Nimewambieni lengo kambi ya upinzani iende cuf siajabu wakaongezewa nguvu na vyama vingine
 
Anna Makinda USPIkaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa???? NCHI UMEOZA:yield::yield::yield::doh:
 
kambonda Sitta kwa matumizi mabaya ya fedha na kurefusha mijadala kama ule wa richmond unnecesarily, amesema bunge lake, atahitaji mijadala kama richmond mingine kumi, sio ule mmoja tuu wa richmond.


anaongopa! mbona watammaliza fasta.

hatamaliza miaka 5 kama ndo hivyo
 
Amewaponda wapinzani kuwa bado ni laini, anataka wapinzani wawe makini. Kama kuna hoja za ukweli ziwe za ukweli sio waje na hoja laini laini wakipigwa chini ndio wanalia lia. Amewataka wapinzani kujenga nguvu za hoja na sio hoja za nguvu.
 
kambonda Sitta kwa matumizi mabaya ya fedha na kurefusha mijadala kama ule wa richmond unnecesarily, amesema bunge lake, atahitaji mijadala kama richmond mingine kumi, sio ule mmoja tuu wa richmond.

Hili nalo neno Baniani mbaya kiatu chake dawa.
 
Amewaponda wapinzani kuwa bado ni laini, anataka wapinzani wawe makini. Kama kuna hoja za ukweli ziwe za ukweli sio waje na hoja laini laini wakipigwa chini ndio wanalia lia. Amewataka wapinzani kujenga nguvu za hoja na sio hoja za nguvu.


unaona alivyo mpuuzi huyu mama?!1

wapinzani ndo wamewatoa wa tz tongo tongo halafu analeta tabia za njombe kusini hapa
 
ameulizwa kuhusu kuwekwa na mafisadi, amesema hawajui mafisadi. Yeye anaishi maisha yake na yeye ni mtu wa principles anaishi anavyotaka yeye. Ameibonda ile select commitee ya Mwakiembe, something was wrong somewhere..
 
Nimewambieni lengo kambi ya upinzani iende cuf siajabu wakaongezewa nguvu na vyama vingine

Mkuu hata wakiongezewa idadi yao haiwazidi ya CHADEMA

CUF+NCCR+TLP+UDP=32+4+1+1=38

CHADEMA peke yao wako 45, kwa hiyo NO way huo Muungano mwingine utaweza kuchukua power, labda sheria zifinyangwe finyangwe
 
kambonda Sitta kwa matumizi mabaya ya fedha na kurefusha mijadala kama ule wa richmond unnecesarily, amesema bunge lake, atahitaji mijadala kama richmond mingine kumi, sio ule mmoja tuu wa richmond.



Hoja za za Richmond, EPA moto

na Peter Nyanje


HOJA mbili zenye ushawishi mkubwa; Kashfa ya EPA na ripoti ya uchunguzi wa Richmond zinaonekana kugusa hisia za wabunge wengi na hivyo kubadili kabisa mwelekeo wa kisiasa katika siku za karibuni.
Mwenendo wa mambo ndani na nje ya Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo linaendelea kukutana mjini hapa unaonyesha kuwa, hoja hizo zimepandisha joto la kisiasa kiasi cha kumlazimisha Spika wa Bunge, Samuel Sitta, aahirishe ziara yake ya kikazi nchini Marekani iliyokuwa ianze jana.
Mabadiliko hayo ya ghafla ambayo hadi hivi sasa sababu zake hazijawekwa bayana yalitangazwa bungeni jana na Naibu Spika wa Bunge, Anne Makinda, mara baada ya kipindi cha maswali na majibu, wakati wa matangazo.
"Ni yeye mwenyewe ndiye amesitisha safari hiyo. Leo (jana) anahudhuria sherehe za siku ya sheria pale Dar es Salaam na ujumbe niliousoma ambao aliniandikia unasema kuwa kesho atakuwa hapa," alisema Makinda. Hata hivyo, alipotakiwa aeleze ni lini sasa masuala kuhusu Richmond na EPA yatajadiliwa, Makinda alisema kuwa hilo linatarajia ratiba ya shughuli za Bunge.
 
Watanzania watakuwa hawamtedei haki Anna Makinda kabla kipenge hakijapulizwa tayari malalamiko kibao ebu tumpe muda tumpime utendaji wake anaweza kuwashangaza mafisadi wakajuta kumtosa Six.
 
Kambi inayotambulika kikatiba na kanuni za bunge ni ile ya Chadema - finished! Otherwise speaker atatakiwa kujiuzulu. Hivi unawezaje kuwa na press conference halafu unaanza kwa kuuliza kama kuna mwandishi mwenye swali.

mremamakinda.jpg


Source: ippmedia, 2010
 
ameulizwa kuhusu kuwekwa na mafisadi, amesema hawajui mafisadi. Yeye anaishi maisha yake na yeye ni mtu wa principles anaishi anavyotaka yeye. Ameibonda ile select commitee ya Mwakiembe, something was wrong somewhere..


heri mede kavu kuliko nyumba yenye karamu na magomvi!!

huyu mamamnamuona sasa!? yaani ni hovyo principle gani anaishi huyo
 
Watanzania watakuwa hawamtedei haki Anna Makinda kabla kipenge hakijapulizwa tayari malalamiko kibao ebu tumpe muda tumpime utendaji wake anaweza kuwashangaza mafisadi wakajuta kumtosa Six.


kuna watu wa kuwapa mda lakini siyo huyu mama!
hafai kwaile nafasi
 
Amesisitiza hajawekwa na mtu, hamtumikii mtu na hawezi kuondolewa na mtu, ametangaza 2015 hagombei Ubunge, anastaaafu.
Press Conference imeisha, anaelekea bungeni sasa.
 
Yetu macho na masikio, tutamevaluate wakati wa mijadala haswa ile nyeti.
 
Amesisitiza hajawekwa na mtu, hamtumikii mtu na hawezi kuondolewa na mtu, ametangaza 2015 hagombei Ubunge, anastaaafu.
Press Conference imeisha, anaelekea bungeni sasa.

hata jk alisema hivyo 2005 kuwa urais wake hashei na mtu, ki ukweli hakuwa anashea na mtu bali he is just a front. The real president ni mafisadi
 
Amesisitiza hajawekwa na mtu, hamtumikii mtu na hawezi kuondolewa na mtu, ametangaza 2015 hagombei Ubunge, anastaaafu.
Press Conference imeisha, anaelekea bungeni sasa.

Heshima kwako Pasco.

Mara nyingi watu wanaotangaza kung'atuka wanatabia ya kuvurunda ngoja nisubiri historia itanihukumu.
 
huyu mama ni mmoja wa watu walioua mashirika mengi ya umma miaka ya 70 hadi 80

HAFAI
 
Hongera kwa spika makinda namtakia heri na fanaka kwenye kazi hiyo lakini kama katafuta nafasi hiyo ili kuzima mapambano zidi ya mafisadi wa nchi yetu Mungu asimpe uwezo huo na ashindwe mara moja.
 
Back
Top Bottom