Hana hiyo unayoiita heshima, ndio maana dhana ya kuilinda haipo. anapayuka payuka hovyo, lazima achomekee vimaneno yaani lipo lipo lile Nungayembe! Wenzake wazuri wazuri wameolewa lenyewe limebakia na gere! Akiongea mwanamke kwanini ameolewa!!!!, akiongea wa kiume kwanini hakunioa mimi!!!!
Yaani limechanganyikiwa ile mbaya.