...mkakati wa kutoonyesha live uliposhindwa naona wameenda kwenye option hii ili waweze kucontrol nini kionekane kwa wananchi ua kutoonyesha kabisa kama kilichotokea leo na siku za hivi karibuni, uhuru wa kupata habari/taarifa kapuni...Hivi inakuwaje TBC peke yake ndio inarusha live kipindi hicho cha Bunge ?
.....ni sheria ama ni kitu gani hasa ?
Ningekuwa na experience na mambo ya Dental,ningeanza kung'oa meno ya wabunge wasumbufu bungeni mmoja baada ya mwingine.