Hivi huyu mama na chama chake cha magamba wanatumia akili kweli, maana nashangaa wanaposema mswada sio wa kuandika katiba mpya ni kuchagua kamati ya kuratibu. Ninavyojua katiba inaanza kuandikwa kwanza pale unapokubali kuiandika plus michakato yote inayofata na ikiwa ni hautakuwa serious tokea mwanzo kwenye foundation unaweza kutoa kitu cha ajabu. Naomba spika Makinda na wenzake wana CCM wakiongozwa na mwenyekiti wao waache kuwapotosha wananchi kwamba mswada uliopelekwa sio wa kuandika katiba mpya.
Na kama wanasema mswada sio wa kuandika katiba mpya na huo mswada ni wa nini basi, na hiyo tume ni ya nini basi.
Na kama wanasema mswada sio wa kuandika katiba mpya na huo mswada ni wa nini basi, na hiyo tume ni ya nini basi.