Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,243
- 90,303
Kila linapotajwa jina la Job Ndugai kwangu hunijia taswira ya spika mbabe aliyewanyoosha haswa wapinzani ndani ya bunge, mjivuni wa mamlaka ya dola, sakata la covid19 na bunge kupitisha sheria ya wenza wa viongozi kulipwa kwa sababu ya kuwa wake au waume wa viongozi.
Zaidi sana ni bunge aliloliongoza kupoteza mvuto wa kufuatiliwa na raia walio wengi.
Zaidi sana ni bunge aliloliongoza kupoteza mvuto wa kufuatiliwa na raia walio wengi.