Spika hata kulizungumzia bungeni!

Spika hata kulizungumzia bungeni!

Bangoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
5,597
Reaction score
1,016
Kikao cha bunge kimeanza wabunge wa CHADEMA hawapo!
Spika wa bunge hajalizungumzia kabisaa suala la booom! Huyu spika to much...
 
Inaniwia shaka kwa jinsi bunge lilivyoweza kuanza vikao bila hata kulaani tukio lile! Mbona mengine yamekuwa yakisemwa bungeni mfano boom la kanisani, na matukio ya mtwara, je hili la Arusha ni kwa sababu linahusu wapinzani? Je ungekuwa ni mkutano wa ccm wasingelizungumzia?
hakika tulikosa spika tukapata MAKINDA!
 
Kikao cha bunge kimeanza wabunge wa chadema hawapo!
Spika wa bunge hajalizungumzia kabisaa suala la booom! Huyu spika to much..
Hapo amefurahi leo hana upinzani amebaki na mwanandoa wake na watoto wake wa nje
 
Hakika leo kwa mara ya kwanza anaongoza bunge la wabunge wa ccm tu.. Atajiachia sana leo...
Hapo amefurahi leo hana upinzani amebaki na mwanandoa wake na watoto wake wa nje
 
hawawezi kulinzungumzia maana inawezekana muvi anaijua. du labda wale waliokufa kule sio watanzania.
 
Hatuwezi kupoteza rasilimali za taifa kwa mambo ambayo yanatengenezwa kwa makusudi ili kuchonganisha serikali na watu wake.

Wito wangu kwa raia wema ni kuacha kuhudhuria mikutano ya hawa watu maana watatutoa kafara hadi lini? Nani alijiuliza ilikuwaje mbowe na lema waondoke kwanza ndo bomu lilipuke? huu ni utoto wa hali ya juu.
 
Wasaidizi wake watakuwa wamesoma tahadhari hii, watamkumbusha kwamba kuna bomu lililipuliwa Arusha kwenye mkutano wa Chadema na kwamba ni muhimu afanye japo unafiki kiana kulaani tukio hilo. Kwa hiyo baada ya maswali na majibu atalaani.
 
Inaniwia shaka kwa jinsi bunge lilivyoweza kuanza vikao bila hata kulaani tukio lile! Mbona mengine yamekuwa yakisemwa bungeni mfano boom la kanisani, na matukio ya mtwara, je hili la Arusha ni kwa sababu linahusu wapinzani? Je ungekuwa ni mkutano wa ccm wasingelizungumzia?
hakika tulikosa spika tukapata MAKINDA!

Kwanza inaelekea kachukia kwanini wauaji hawakufanikisha kumuua Mbowe na wenzake, ndiyo maana kaamua kukaa kimya bila kuonyesha muhimili wa serikali umesikitishwa na tukio hili. Pia inawezekana hajui yeye kama Spika ni nani kwa nchi hii. Kama Mhimili wa Serikali alitakiwa sana kulaani kitendo hicho. Sasa kwakuwa Spika si mhimili wa Serikali bali ni mhimili wa CCM hilo haliwezi kumchukiza yeye hasa kwa sababu limewakumba Chadema, badala yake usikute AMESHEREHEKEA
 
Ni mwendawazimu tu anaeweza kuongea upuuzi kama huo ulioongea hapo, boom lililipuka mbowe akiwa ameshika box anakusanya hela.. Acha kupotosha..
Mijitu kama nyie ni wakulaaniwa tu.
Hatuwezi kupoteza rasilimali za taifa kwa mambo ambayo yanatengenezwa kwa makusudi ili kuchonganisha serikali na watu wake.

Wito wangu kwa raia wema ni kuacha kuhudhuria mikutano ya hawa watu maana watatutoa kafara hadi lini? Nani alijiuliza ilikuwaje mbowe na lema waondoke kwanza ndo bomu lilipuke? huu ni utoto wa hali ya juu.
 
Mkuu! leo umejidhihirisha kuwa ni bidhaa ya bei nafuu kuliko tulivyodhani hapo awali. Unawezaje kutoa mchango wa kebehi kiasi hicho dhidi ya tukio lililogharimu roho za watanzania wenzako?, kwakweli kuwa shabiki wa ccm ni zaidi ya kuwa mwendawazimu. Komaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!..
 
Watajadilije bajeti bila hotuba ya kambi ya upinzani?
 
Huyu ni spika ni jaribu tulilopewa,yatupasa kuwa makini kulivuka hili.......Mungu atupe hekima zaidi.
 
Back
Top Bottom