Kikao cha bunge kimeanza wabunge wa CHADEMA hawapo!
Spika wa bunge hajalizungumzia kabisaa suala la booom! Huyu spika to much...
Ni kwa sababu tukio lenyewe wamefanya wenyewe! Hivyo hawezi kulaani
Baado kidogo watadai SWALA HILI LIKO MAHAKAMANI. Viongozi wetu wana apa bila kujua viapo vyao vinamajukumu gani!Huyu ni spika ni jaribu tulilopewa,yatupasa kuwa makini kulivuka hili.......Mungu atupe hekima zaidi.
Kikao cha bunge kimeanza wabunge wa CHADEMA hawapo!
Spika wa bunge hajalizungumzia kabisaa suala la booom! Huyu spika to much...
Mkuu! leo umejidhihirisha kuwa ni bidhaa ya bei nafuu kuliko tulivyodhani hapo awali. Unawezaje kutoa mchango wa kebehi kiasi hicho dhidi ya tukio lililogharimu roho za watanzania wenzako?, kwakweli kuwa shabiki wa ccm ni zaidi ya kuwa mwendawazimu. Komaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!..
Hakika leo kwa mara ya kwanza anaongoza bunge la wabunge wa ccm tu.. Atajiachia sana leo...
Heheheheheeh...! Nicewatapiga meza mpaka zipasuke!