OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,349
- 104,356
Wakati wa kumtawadha Mh.John Magufuli kuwa mgombea wa CCM,Mh.Makinda ametoa kauli tata kwamba kwa miaka yote wanawake wamekuwa hawafiki kileleni,lakini kwa awamu hii ya JK wamefika kileleni,tena wanawake wawili