Spika akalia kuti kavu

Leo ndio wamemuona hafai? Nawashauri wabunge wote wa CUF waendelee kuzipiga meza zao (kushangilia) kwa kila jambo linalosemwa na Spika ili kuwakomoa wapinzani. Mind you, CUF ni chama tawala.
 
Tanganyika ipo wapi wewe ? Unatafutwa kufungwa ? Lile ni bunge lilitokana na nchi mbili na baraza la Wawakilishi ni la nchi ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ,wakati mwengine jaribu kuandika kama mtu mwenye akili.

We mchoma makanisa ndo unalitambua hilo mbona kwenye mikutano yenu ya uamusho huwa hamyasemi?
 
naunga mkono hoja, apigwe chini

Tatizo lilipo ni kwamba endapo hiyo kura ikipigwa basi Spika au Mwenyekiti ataamua kutumia utaraibu wa kusema "NDIYOOOOOOOOO" au "HAPANAAAAAA"

Hiyvo katika BUnge letu ni kwamba wabunge asilimia kubwa ni wa CCM, na wataogopa kama kawaida yao kusema "HAPANAAA" kwa kuhofu kuwajiobishwa na vitisho vya LUKUVI.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hivi?? mbona naanza kusikia harufu ya Muungano kuvunjika?...au naota nini!!!!
 
Wamtoe tu ameshindwa kazi hata kabla ya hii ajali, hawezi kuhimili hoja nzito.. Anakimbilia kanuni hairuhusu na jambo hili liko mahakamani. Mtoeni haraka kabla hajaleta maafa zaidi.
 
for me ni bora huyu mama kuwa spika kuliko yule ayub ndugai...hili lijamaa ovyo sana linapokalia kiti,.mbabe,hakubali kushindwa
 
Huyu spika hafai, ni mbaguzi. Kila hoja itakayowasilishwa na upande wa upinzani atiikataa hata kama ina tija. Embu angalia alivyofanya jana. Alikataa hoja ya Hamad Rashid lakini akakubali ilipowasilishwa na gamba mwenzake. Spika huyu alaaniwe kwa kuendesha bunge kwa ubaguzi
 

Nazani hapa ilitakiwa busara tuu si vifungu...........yako mambo ambayo nazani yana ulazima wa kuamuliwa bira ya vifungu na naamini vifungu havitoi mwongozo kwa kila kitu.
 
Anaitaji msasa tuu kufukuza sio kila wakati itakuwa dawa ya anayekosea au kutotimiza wajibu wake vizuri.
 
IRON LADY hangoki labda aende kinyume na Chama Chake,
 
apigwe chini la sivyo aliombe taifa radhi na aache kupendelea magamba wa mapwepande
 
huyu mama asubiri kile kipindi cha wabunge wa East africa wakiomba kura ndo aanze kusema sirii minutes to explain yourself and sirii question ananiudhi na ubabe wake haki ya MUngu
 
Hii ndiyo athari za kuchagua watu kwenye ngazi mbali mbali za uongozi kwa ajili ya kutumika kwa maslahi ya wachache.Sote tunatambua jinsi huyu mama alivyochaguliwa kuwa Spika Kwa ajili ya kutumika na kundi dogo la Mafisadi wakisaidiwa na vyombo vya dola.Hakika ni aibu kwa mama wa umri huu kutumika kama zana fulani inayotupwa jalalani mara baada ya matumizi.Watanzania tumekuwa watu wa daraja katika dunia hii inapokuja jambo kubwa kama hili la ajali inayogharimu uhai wa Watu huku akina Makinda wakiona ni jambo la kawaida tu eti kwa vile halijawagusa waliowachagua kuwa Maspika.
 
Bi Kiroboto amechanganyikiwa kutokana na kuzalishwa huku na kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…