Ii picha ilishake dunia nzima, ilipigwa na jamaa Somalia,.. Uyu mtoto alikua anaenda kweny camp ya chakula, wakapita maafisa wa UN, na mpiga picha,... Wakamwambia asimsogelee uyu mtoto kwa sababu anaweza kua na magonjwa yakuambukiza,... Wakamwacha apo, uyo Tai anasubiri uyo dogo afe amle,.. Hakuna anayejua kama dogo alifika camp ya chakula.. Very sadddd
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.