ThanksHaiti
Wasichana wa kazi wamekuwa mashetani kabisa, mtoto hana hatia si afanye kitu kingine aache kuumiza mtoto? Halafu na yeye ni mama mtarajiwa.Mtoto wa kike (5) mkazi wa Soga Kibaha mkoani Pwani, amejeruhiwa vibaya na mfanyakaz wa ndani aliyejuljkana kama Rehema baada ya kumwagiwa mafuta ya moto sehemu mbalimbali za mwili wake na kisha mtuhumiwa huyo kutorokea kusikojulikana.View attachment 2283027
Inauma sanaTazama picha za mazishi ya vijana 21 waliofariki katika klabu moja ya usiku huko London Mashariki, Afrika Kusini. Vijana kati ya umri wa miaka 13 na 17 walianza kufa mmoja baada ya mwingine katika baa ya Enyobeni mwezi uliopita. Mamlaka bado zinachunguza vifo vya watu waliofariki.
View attachment 2283063View attachment 2283064View attachment 2283065
Nikiona picha kama hivi natamani kuwa mtotoBeat the kete drum son. Chase vampireView attachment 2285299
Alipomvunja mkono alichukuliwa hatua gani?Pichani ni Mtoto Daniel Opiyo umri wa miaka 7 mbaye inaelezwa kuwa Ameuwawa na Mama Wa Kambo anaitwa Grace Otieno Katika mtaa wa Engosengiu Kata ya Sinoni Arusha ambaye kwasasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Arusha
Na siku za nyuma Mama huyu wa Kambo alimvunja Mtoto Mkono kama anavyonekana hapo kwenye Picha
R.I.P Mtoto Daniel umekatizwa Ndoto zako.View attachment 2285960
Aisee yan nikioma hiv ata wazo la kuja kuoa siku moja naona ni upuuzi tu bora kulea .wenyewe mtoto wako tuPichani ni Mtoto Daniel Opiyo umri wa miaka 7 mbaye inaelezwa kuwa Ameuwawa na Mama Wa Kambo anaitwa Grace Otieno Katika mtaa wa Engosengiu Kata ya Sinoni Arusha ambaye kwasasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Arusha
Na siku za nyuma Mama huyu wa Kambo alimvunja Mtoto Mkono kama anavyonekana hapo kwenye Picha
R.I.P Mtoto Daniel umekatizwa Ndoto zako.View attachment 2285960
Na hili ndio tatzo letu tunapenda kurahusisha mambo kwa kuyamaliza kiramilia kwa kisingizio cha atabadirikaInawezekana waliyamaliza kifamilia