Usiseme mtu Moja sema mwalimi wa madrasaTumehuzunishwa na tukio lililoripotiwa huko Arusha ambapo wanafunzi zaidi ya 20 wamelawitiwa na mtu mmoja ambaye anashikiliwa na Jeshi la Polisi.
Nichukue nafasi hii kuwaomba wasomaji wetu, pakua picha hii kisha uipost katika ukurasa wako ili ujumbe uwafikie wazazi/walezi wengi, kumbuka kututag HAKIELIMU.
Pia niwakumbushe kuwa kila mzazi,mlezi na mwanajamii ana wajibu wa kuhakikisha mtoto ana ulinzi na usalama kila wakati. Unaposhuhudia kitendo chochote cha ukatili dhidi ya mtoto au watoto ikiwemo matusi, vipigo, kunyimwa chakula, ubakaji, ulawiti, utumikishwaji na kuonekana katika sehemu za starehe na kadhalika, toa taarifa mara moja katika ofisi ya Mtendaji aliye karibu, dawati la jinsia kwenye kituo cha polisi kilichopo karibu nawe au Rafiki wa Elimu au piga simu bure Namba 116.
Nawashukuru wote - Dr.John Kalage , Mkurugenzi @HakiElimuView attachment 2231057
Kwan mwalimu wa madrasa sio mtu?Usiseme mtu Moja sema mwalimi wa madrasa
Deep reflection ya jinsi tunavyowaza na kubishana kuhusu maisha baada ya kifo.kwa hakika Mungu ndiye mjuzi wa kila kitu.Katika tumbo la mama kulikuwa na watoto wawili. Mmoja akamuuliza mwenzake: “Je, unaamini maisha baada ya kujifungua?” Yule mwingine akajibu, “Kwa nini, bila shaka. Lazima kuwe na kitu baada ya kujifungua. Labda tuko hapa kujitayarisha kwa kile tutakachokuwa baadaye.” "Upuuzi," wa kwanza alisema. "Hakuna maisha baada ya kujifungua. Je, hayo yangekuwa maisha ya aina gani?” Wa pili akasema, "Sijui, lakini kutakuwa na mwanga zaidi kuliko hapa. Labda tutatembea kwa miguu yetu na kula kutoka kwa midomo yetu. Labda tutakuwa na hisia zingine ambazo hatuwezi kuelewa sasa. Wa kwanza akajibu, “Huo ni upuuzi. Kutembea haiwezekani. Na kula kwa midomo yetu? Kichekesho! Kamba ya umbilical hutoa lishe na kila kitu tunachohitaji. Lakini kamba ya umbilical ni fupi sana. Maisha baada ya kujifungua yanapaswa kutengwa kimantiki.” Wa pili alisisitiza, "Nadhani kuna kitu na labda ni tofauti na ilivyo hapa. Labda hatutahitaji kamba hii ya mwili tena." Wa kwanza akajibu, “Upuuzi. Na zaidi ya hayo, ikiwa kuna uhai, basi kwa nini hakuna mtu aliyewahi kurudi kutoka huko? Kujifungua ni mwisho wa maisha, na katika baada ya kuzaa hakuna ila giza na ukimya na usahaulifu. Haitupeleki popote.” “Sawa, sijui,” akasema wa pili, “lakini hakika tutakutana na Mama naye atatutunza.” Wa kwanza akajibu “Mama? Unamwamini Mama kweli? Hiyo inachekesha. Kama mama yupo, yuko wapi sasa hivi?" Wa pili akasema, “Anatuzunguka pande zote. Tumezungukwa naye. Sisi ni wake. Ni ndani Yake tunaishi. Bila Yeye, ulimwengu huu haungekuwepo na haungekuwepo." Alisema wa kwanza: "Kweli, simuoni, kwa hivyo ni sawa kwamba Yeye hayupo." Ambayo wa pili alijibu, "Wakati mwingine, unapokuwa kimya na ukizingatia na kusikiliza, unaweza kuona uwepo Wake, na unaweza kusikia sauti Yake ya upendo, ikiita kutoka juu." Labda hii ilikuwa moja ya maelezo bora ya dhana ya MUNGU.
View attachment 2240144
Mbona kafanana sana na ndugu mtaka?Mariam Mchiwa(19) house girl aliyepata division 1 ya point 16 katika matokeo ya mitihani ya taifa kidato cha nne 2021 atakiwa kurudi Dodoma kujiandaa kwenda kidato cha tano na sita
Mariam anatokea Kijiji cha Songambele mkoani Dodoma licha ya kuwa na bidii kubwa ya masomo tangu akiwa shule ya msingi lakini familia yao ya watoto sita imekuwa ikiishi katika lindi la umasikini na kushindwa kumsomesha
Baada ya matokeo kidato cha nne kutoka na kuona amefaulu vizuri alitoka kijijini kwao kwenda Dodoma mjini kufanya kazi ya kumsaidia Mama Ntilie ili apate pesa ya kuendelea na shule. Kwa siku alikuwa akilipwa shilingi elfu mbili tu (2000) tu na kazi alikuwa akianza kufanya kuanzia alfajiri hadi saa tano za usiku, ilibidi aache akarudi kijijini kwao kumsaidia mama yake vibarua walee familia
Baadaye akaja mtu kijijini kwao na kusikia anatakiwa house girl jijini Dar es salaam ndipo Mariam akaja Dar. Wiki mbili baadaye akaulizwa na bosi wake, una elimu gani, akajibu nimefaulu kidato cha nne kwa division 1 nimeona nifanye kazi nijisomeshe na hakujua kuwa siku hiyo ndio taarifa ya wanafunzi kupangiwa shule ilitoka.
Bosi ambaye ni mwanamke akashangaa house girl aliyenae hakutakiwa kuwa hapo kwani ana bidii na juhudi za masomo
Gazeti la Mwananchi wamefanya mahojiano na Mariam ambapo mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh.Anthony Mtaka ameona habari hiyo na kuagiza Mariam afike ofisini kwake Dodoma wajue namna ya kumsaidia aendelee na elimu yake
Mariam anataka kuwa nesi ili aisaidie familia yake. Kati ya watoto sita yeye ni wa tano kuzaliwa na ndie pekee amesoma sekondari ndugu zake wengine hawajamaliza hata shule ya msingi huko kijijini
Mwalimu mkuu wa shule ya Songambele huko kijijini kwao akihojiwa na Mwananchi amethibitisha kuwa Mariam alikuwa na bidii ya masomo na walijua changamoto aliyokuwa akipitia na walikuwa wakimpa moyo asikate tamaaView attachment 2244937
Habari hii inatufundisha kuwa, house girl hatakiwi kupata dvs 1 (kufaulu)Mariam Mchiwa(19) house girl aliyepata division 1 ya point 16 katika matokeo ya mitihani ya taifa kidato cha nne 2021 atakiwa kurudi Dodoma kujiandaa kwenda kidato cha tano na sita
Mariam anatokea Kijiji cha Songambele mkoani Dodoma licha ya kuwa na bidii kubwa ya masomo tangu akiwa shule ya msingi lakini familia yao ya watoto sita imekuwa ikiishi katika lindi la umasikini na kushindwa kumsomesha
Baada ya matokeo kidato cha nne kutoka na kuona amefaulu vizuri alitoka kijijini kwao kwenda Dodoma mjini kufanya kazi ya kumsaidia Mama Ntilie ili apate pesa ya kuendelea na shule. Kwa siku alikuwa akilipwa shilingi elfu mbili tu (2000) tu na kazi alikuwa akianza kufanya kuanzia alfajiri hadi saa tano za usiku, ilibidi aache akarudi kijijini kwao kumsaidia mama yake vibarua walee familia
Baadaye akaja mtu kijijini kwao na kusikia anatakiwa house girl jijini Dar es salaam ndipo Mariam akaja Dar. Wiki mbili baadaye akaulizwa na bosi wake, una elimu gani, akajibu nimefaulu kidato cha nne kwa division 1 nimeona nifanye kazi nijisomeshe na hakujua kuwa siku hiyo ndio taarifa ya wanafunzi kupangiwa shule ilitoka.
Bosi ambaye ni mwanamke akashangaa house girl aliyenae hakutakiwa kuwa hapo kwani ana bidii na juhudi za masomo
Gazeti la Mwananchi wamefanya mahojiano na Mariam ambapo mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh.Anthony Mtaka ameona habari hiyo na kuagiza Mariam afike ofisini kwake Dodoma wajue namna ya kumsaidia aendelee na elimu yake
Mariam anataka kuwa nesi ili aisaidie familia yake. Kati ya watoto sita yeye ni wa tano kuzaliwa na ndie pekee amesoma sekondari ndugu zake wengine hawajamaliza hata shule ya msingi huko kijijini
Mwalimu mkuu wa shule ya Songambele huko kijijini kwao akihojiwa na Mwananchi amethibitisha kuwa Mariam alikuwa na bidii ya masomo na walijua changamoto aliyokuwa akipitia na walikuwa wakimpa moyo asikate tamaaView attachment 2244937
Udhalilishaji wa wtt.62 years old African woman got married to a 9 year old boy. According to her, love has no age limit. She adds that those who criticise her have never met true love.View attachment 2224968
Ooh my God. Mungu ni MkubwaMariam Mchiwa(19) house girl aliyepata division 1 ya point 16 katika matokeo ya mitihani ya taifa kidato cha nne 2021 atakiwa kurudi Dodoma kujiandaa kwenda kidato cha tano na sita
Mariam anatokea Kijiji cha Songambele mkoani Dodoma licha ya kuwa na bidii kubwa ya masomo tangu akiwa shule ya msingi lakini familia yao ya watoto sita imekuwa ikiishi katika lindi la umasikini na kushindwa kumsomesha
Baada ya matokeo kidato cha nne kutoka na kuona amefaulu vizuri alitoka kijijini kwao kwenda Dodoma mjini kufanya kazi ya kumsaidia Mama Ntilie ili apate pesa ya kuendelea na shule. Kwa siku alikuwa akilipwa shilingi elfu mbili tu (2000) tu na kazi alikuwa akianza kufanya kuanzia alfajiri hadi saa tano za usiku, ilibidi aache akarudi kijijini kwao kumsaidia mama yake vibarua walee familia
Baadaye akaja mtu kijijini kwao na kusikia anatakiwa house girl jijini Dar es salaam ndipo Mariam akaja Dar. Wiki mbili baadaye akaulizwa na bosi wake, una elimu gani, akajibu nimefaulu kidato cha nne kwa division 1 nimeona nifanye kazi nijisomeshe na hakujua kuwa siku hiyo ndio taarifa ya wanafunzi kupangiwa shule ilitoka.
Bosi ambaye ni mwanamke akashangaa house girl aliyenae hakutakiwa kuwa hapo kwani ana bidii na juhudi za masomo
Gazeti la Mwananchi wamefanya mahojiano na Mariam ambapo mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh.Anthony Mtaka ameona habari hiyo na kuagiza Mariam afike ofisini kwake Dodoma wajue namna ya kumsaidia aendelee na elimu yake
Mariam anataka kuwa nesi ili aisaidie familia yake. Kati ya watoto sita yeye ni wa tano kuzaliwa na ndie pekee amesoma sekondari ndugu zake wengine hawajamaliza hata shule ya msingi huko kijijini
Mwalimu mkuu wa shule ya Songambele huko kijijini kwao akihojiwa na Mwananchi amethibitisha kuwa Mariam alikuwa na bidii ya masomo na walijua changamoto aliyokuwa akipitia na walikuwa wakimpa moyo asikate tamaaView attachment 2244937
vijana wa hovyo mara baada ya kumpokea maria chuoni.Mariam Mchiwa(19) house girl aliyepata division 1 ya point 16 katika matokeo ya mitihani ya taifa kidato cha nne 2021 atakiwa kurudi Dodoma kujiandaa kwenda kidato cha tano na sita
Mariam anatokea Kijiji cha Songambele mkoani Dodoma licha ya kuwa na bidii kubwa ya masomo tangu akiwa shule ya msingi lakini familia yao ya watoto sita imekuwa ikiishi katika lindi la umasikini na kushindwa kumsomesha
Baada ya matokeo kidato cha nne kutoka na kuona amefaulu vizuri alitoka kijijini kwao kwenda Dodoma mjini kufanya kazi ya kumsaidia Mama Ntilie ili apate pesa ya kuendelea na shule. Kwa siku alikuwa akilipwa shilingi elfu mbili tu (2000) tu na kazi alikuwa akianza kufanya kuanzia alfajiri hadi saa tano za usiku, ilibidi aache akarudi kijijini kwao kumsaidia mama yake vibarua walee familia
Baadaye akaja mtu kijijini kwao na kusikia anatakiwa house girl jijini Dar es salaam ndipo Mariam akaja Dar. Wiki mbili baadaye akaulizwa na bosi wake, una elimu gani, akajibu nimefaulu kidato cha nne kwa division 1 nimeona nifanye kazi nijisomeshe na hakujua kuwa siku hiyo ndio taarifa ya wanafunzi kupangiwa shule ilitoka.
Bosi ambaye ni mwanamke akashangaa house girl aliyenae hakutakiwa kuwa hapo kwani ana bidii na juhudi za masomo
Gazeti la Mwananchi wamefanya mahojiano na Mariam ambapo mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh.Anthony Mtaka ameona habari hiyo na kuagiza Mariam afike ofisini kwake Dodoma wajue namna ya kumsaidia aendelee na elimu yake
Mariam anataka kuwa nesi ili aisaidie familia yake. Kati ya watoto sita yeye ni wa tano kuzaliwa na ndie pekee amesoma sekondari ndugu zake wengine hawajamaliza hata shule ya msingi huko kijijini
Mwalimu mkuu wa shule ya Songambele huko kijijini kwao akihojiwa na Mwananchi amethibitisha kuwa Mariam alikuwa na bidii ya masomo na walijua changamoto aliyokuwa akipitia na walikuwa wakimpa moyo asikate tamaaView attachment 2244937