Spending So Much Kwenye Muungano: Does This Justify Tulipofuta Uhuru Just To Save ?!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,570
Wanabodi,
Hii ni thread ya kuhoji

Spending So Much Kwenye Sherehe Muungano: Does This Justify Tulipofuta Sherehe za Uhuru Just To Save and Now we Spend So Much kwenye Sherehe ?!.

Nilikuwa natafakari gharama zilizotumika kufanikisha maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano jana pale Dodoma.

Mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea kupitia mkakati wa Open Government Initiatives na sheria ya The Right to Information Act ninayo mamlaka ya kuiandikia barua serikali yangu kuiuliza sisi Tanzania kama nchi, tumetumia gharama kiasi gani kuandaa hizi Sherehe za Muungano Dodoma, (Nashauri Sherehe za miaka 54 Muungano tuzifanyie Zanzibar), ila sijauliza rasmi kwa kuiuliza "what for?", ila ninakereketwa na swali, hivi tulipofuta yale maadhimisho ya Uhuru mwaka ule tulifuta kwa sababu gani vile?!.

Naomba kuiuliza, hivi sherehe mbalimbali za kitaifa zinalingana umuhimu au kuna baadhi ya sherehe ni muhimu kuliko nyingine?!.

Mfano tulipofuta maadhimisho ya Uhuru ili to save money na kizielekeza kwenye maeneo mengine yenye umuhimu zaidi halafu miaka iliyofuata tukatumia fedha nyingi kuliko hata zile tulizo ziokoa kwenye ile sherehe tulioifuta kwa kufanyia sherehe nyingine mahali pengine more costly na kwa kwa mbwembwe kuliko hata sherehe za Uhuru, hivyo najiuliza ipi ni sherehe muhimu kati ya Uhuru na Muungano?.

Kama tuliwahi kufuta maadhimisho muhimu kama sherehe kwa lengo la to save, then tuka spend more kwenye sherehe nyingine of the same nature, does it justify reasons za kuifuta ile sherehe ya mwanzo?!.

Jee ni kweli maadhimisho yale yalifutwa just to save or just to get noticed?!.

Kama tulifuta to save, then wakati ule tulikuwa na shida sana, kama utekelezaji tuu wa budget tuliyoipanga at the last quoter ni less than 25% wakati ilipaswa kuwa 75%!, jee sasa tuna ehueni fulani kuichumi ku guarantee such spending?!.

Jee Tanzania tunacho hitaji ni maonyesho ya kuonyeshea tuna nini na tunaweza nini au tunahitaji kufanya vitendo vya kuonekanika, kama ni Tanzania ya Viwanda, sio maelezo ya viwanda na picha za viwanda bali viwanda halisi vinavyofanya uzalishaji mali!.

Kama tunaweza kufuta sherehe fulani kwa kuto justify the spending, then tuka spend more kwa sherehe nyingine less significant, hii sio double standards na wale waliotusifu mwanzo kwa kufuta spending kwenye sherehe, kweli hawatatushangaa sasa on how we spend more kwa kitu kile kile ambacho mwanzo tulikifuta kwa mbwembwe na sasa tuna spend kwa mbwembwe zaidi?!.

NB. Msije kuninyooshea kidole kuwa mimi ni mpinga Muungano, msimamo wangu ni Muungano wa nchi moja, serikali moja chini ya rais mmoja!.
Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then ...

Hapa swali ni dogo tuu, tumewahi kufuta maadhimisho muhimu ya Uhuru kwa kisingizio cha kubana matumizi kwenye sherehe, halafu leo tuna spend kwenye sherehe hizo hizo tena more than tulichobana!.

The only justification ni kama tulipofuta tulikuwa kwenye hali ngumu, lakini sasa tumepata afueni hivyo spending kwenye sherehe ziendelee!, jee tuna afueni yoyote?.

Alhamisi Njema.

Paskali
 
Wanabodi,
Hii ni thread ya kuhoji

Spending So Much Kwenye Sherehe Muungano: Does This Justify Tulipofuta Sherehe za Uhuru Just To Save and Now we Spend So Much kwenye Sherehe ?!.

Nilikuwa natafakari gharama zilizotumika kufanikisha maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano jana pale Dodoma.

Mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea kupitia mkakati wa Open Government Initiatives na sheria ya The Right to Information Act ninayo mamlaka ya kuiandikia barua serikali yangu kuiuliza sisi Tanzania kama nchi, tumetumia gharama kiasi gani kuandaa hizi Sherehe za Muungano Dodoma, (Nashauri Sherehe za miaka 54 Muungano tuzifanyie Zanzibar), ila sijauliza rasmi kwa kuiuliza "what for?", ila ninakereketwa na swali, hivi tulipofuta yale maadhimisho ya Uhuru mwaka ule tulifuta kwa sababu gani vile?!.

Naomba kuiuliza, hivi sherehe mbalimbali za kitaifa zinalingana umuhimu au kuna baadhi ya sherehe ni muhimu kuliko nyingine?!.

Mfano tulipofuta maadhimisho ya Uhuru ili to save money na kizielekeza kwenye maeneo mengine yenye umuhimu zaidi halafu miaka iliyofuata tukatumia fedha nyingi kuliko hata zile tulizo ziokoa kwenye ile sherehe tulioifuta kwa kufanyia sherehe nyingine mahali pengine more costly na kwa kwa mbwembwe kuliko hata sherehe za Uhuru, hivyo najiuliza ipi ni sherehe muhimu kati ya Uhuru na Muungano?.

Kama tuliwahi kufuta maadhimisho muhimu kama sherehe kwa lengo la to save, then tuka spend more kwenye sherehe nyingine of the same nature, does it justify reasons za kuifuta ile sherehe ya mwanzo?!.

Jee ni kweli maadhimisho yale yalifutwa just to save or just to get noticed?!.

Kama tulifuta to save, then wakati ule tulikuwa na shida sana, kama utekelezaji tuu wa budget tuliyoipanga at the last quoter ni less than 25% wakati ilipaswa kuwa 75%!, jee sasa tuna ehueni fulani kuichumi ku guarantee such spending?!.

Jee Tanzania tunacho hitaji ni maonyesho ya kuonyeshea tuna nini na tunaweza nini au tunahitaji kufanya vitendo vya kuonekanika, kama ni Tanzania ya Viwanda, sio maelezo ya viwanda na picha za viwanda bali viwanda halisi vinavyofanya uzalishaji mali!.

Kama tunaweza kufuta sherehe fulani kwa kuto justify the spending, then tuka spend more kwa sherehe nyingine less significant, hii sio double standards na wale waliotusifu mwanzo kwa kufuta spending kwenye sherehe, kweli hawatatushangaa sasa on how we spend more kwa kitu kile kile ambacho mwanzo tulikifuta kwa mbwembwe na sasa tuna spend kwa mbwembwe zaidi?!.

NB. Msije kuninyooshea kidole kuwa mimi ni mpinga Muungano, msimamo wangu ni Muungano wa nchi moja, serikali moja chini ya rais mmoja!.
Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then ...

Alhamisi Njema.

Paskali


Na hizi pia tungefuta ungekuja kivingine kwamba Raisi wetu ni dikteta na kwamba haikawahi kutokea Sherehe za Kitaifa kufutwa, basi tu ili mradi mpinge lkn ukweli ni kwamba hamna hoja na hamna hoja kwa sababu mnaishi kwa matukio mnapinga kile tu ambacho hakifanywi na haijalishi ni kipi!

Tumenunua Ndege mnapinga kwamba tununue Dawa Hospitalini wkt miaka yote mlikuwa mkilaumu kwa nini nchi yetu haina ndege, tumenunua lawama kwa nini tumenunua, tunajenga Reli mnapinga kwamba siyo muhimu, sasa sijui kuna jambo gani muhimu kwa nchi kuendelea klk Reli!

Jaribuni kuwa na msimamo, kama unapinga kitu pinga hata kama Dunia nzima ikiwa dhidi yako na siyo kubadilika na kupinga inapokunufaisha tu, lkn jambo hilo hilo likifanywa utapinga lisipofanywa utalaumu,...
 
Boss Pascal Mayalla bado 200B za kahama aka kuhamia Dodoma.

Bado tunakimbiza Mwenge.


Wanabodi,
Hii ni thread ya kuhoji

Spending So Much Kwenye Sherehe Muungano: Does This Justify Tulipofuta Sherehe za Uhuru Just To Save and Now we Spend So Much kwenye Sherehe ?!.

Nilikuwa natafakari gharama zilizotumika kufanikisha maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano jana pale Dodoma.

Mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea kupitia mkakati wa Open Government Initiatives na sheria ya The Right to Information Act ninayo mamlaka ya kuiandikia barua serikali yangu kuiuliza sisi Tanzania kama nchi, tumetumia gharama kiasi gani kuandaa hizi Sherehe za Muungano Dodoma, (Nashauri Sherehe za miaka 54 Muungano tuzifanyie Zanzibar), ila sijauliza rasmi kwa kuiuliza "what for?", ila ninakereketwa na swali, hivi tulipofuta yale maadhimisho ya Uhuru mwaka ule tulifuta kwa sababu gani vile?!.

Naomba kuiuliza, hivi sherehe mbalimbali za kitaifa zinalingana umuhimu au kuna baadhi ya sherehe ni muhimu kuliko nyingine?!.

Mfano tulipofuta maadhimisho ya Uhuru ili to save money na kizielekeza kwenye maeneo mengine yenye umuhimu zaidi halafu miaka iliyofuata tukatumia fedha nyingi kuliko hata zile tulizo ziokoa kwenye ile sherehe tulioifuta kwa kufanyia sherehe nyingine mahali pengine more costly na kwa kwa mbwembwe kuliko hata sherehe za Uhuru, hivyo najiuliza ipi ni sherehe muhimu kati ya Uhuru na Muungano?.

Kama tuliwahi kufuta maadhimisho muhimu kama sherehe kwa lengo la to save, then tuka spend more kwenye sherehe nyingine of the same nature, does it justify reasons za kuifuta ile sherehe ya mwanzo?!.

Jee ni kweli maadhimisho yale yalifutwa just to save or just to get noticed?!.

Kama tulifuta to save, then wakati ule tulikuwa na shida sana, kama utekelezaji tuu wa budget tuliyoipanga at the last quoter ni less than 25% wakati ilipaswa kuwa 75%!, jee sasa tuna ehueni fulani kuichumi ku guarantee such spending?!.

Jee Tanzania tunacho hitaji ni maonyesho ya kuonyeshea tuna nini na tunaweza nini au tunahitaji kufanya vitendo vya kuonekanika, kama ni Tanzania ya Viwanda, sio maelezo ya viwanda na picha za viwanda bali viwanda halisi vinavyofanya uzalishaji mali!.

Kama tunaweza kufuta sherehe fulani kwa kuto justify the spending, then tuka spend more kwa sherehe nyingine less significant, hii sio double standards na wale waliotusifu mwanzo kwa kufuta spending kwenye sherehe, kweli hawatatushangaa sasa on how we spend more kwa kitu kile kile ambacho mwanzo tulikifuta kwa mbwembwe na sasa tuna spend kwa mbwembwe zaidi?!.

NB. Msije kuninyooshea kidole kuwa mimi ni mpinga Muungano, msimamo wangu ni Muungano wa nchi moja, serikali moja chini ya rais mmoja!.
Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then ...

Alhamisi Njema.

Paskali
 
Mwaka ule zilipofutwa sherehe za uhuru (zilifutwa kwa mwaka ule), zilipatikana bilioni 4 zilizotumika kupanua barabara ya Alli Hassan Mwinyi. Mwaka uliofata zikafutwa sherehe za Muungano na pesa yake ikatumika kupanua barabara ya Airport Mwanza.

Kwa mtazamo wangu hizi zilikuwa ni symbolic actions ambazo sisi kama wananchi tungeweza kuzitumia kujustify kitu flani kwa maslahi yetu/ya nchi yetu.

Mathalani sasa tumeshajua bajeti ya sherehe hizi ni kubwa na pesa hizo zinaweza kutumika katika mambo mengine yenye manufaa endelevu au ya moja kwa moja.

Uamuzi wa kuahirisha sherehe zile mbili ulikuwa uamuzi wa mtu mmoja, sasa ni juu ya walio wengi kurasmisha jambo hilo, kwamba liwe jambo rasmi kwa makubaliano ya wengi kwamba sherehe hizi zisiwepo.

Mapendekezo yangu binafsi ni kuwa Sherehe hizi zifanyike kila baada ya miaka mitano (iwe rasmi hivyo) hapo katikati kuwepo tu na mapumziko ya kitaifa bila sherehe.

Mkuu wa nchi tuliyenaye ameshatuonyesha kuwa tunaweza kufanya makubwa zaidi ya sherehe, kilichobaki ni sisi ku-push, mkuu atatusaidia kupush kuondoa sherehe hizi.

Kwa wengine wenzetu sherehe hizi ni Values za taifa, sio rahisi kuwafutia sherehe hizi kirahisirahisi tu, wana hoja za msingi kabisa, lakini inawezekana kuwabadilisha kwa maslahi mapana ya taifa na dira mpya ya taifa.
 
Ngoja dereva WA Lorry akusikie! Yeye ajalibiwi Na alifuta kutaka kuona reaction yenu Na kick.
Mengi aliyoanza kwa mkwara muda umeshamfundisha Na sasa Juma Popompo Masufuria Hana option zaidi ya kurudisha mpira kwa keeper
 
Pascal maramojamoja sio mbaya....maana hata kula ugali kilasiku unachoka.
 
Sidhani km wewe ni mwandishi, una hoja lakini kwa ulivyoandika kwa kuchanganya lugha na kurudia rudia, du!
 
Na hizi pia tungefuta ungekuja kivingine kwamba Raisi wetu ni dikteta na kwamba haikawahi kutokea Sherehe za Kitaifa kufutwa, basi tu ili mradi mpinge lkn ukweli ni kwamba hamna hoja na hamna hoja kwa sababu mnaishi kwa matukio mnapinga kile tu ambacho hakifanywi na haijalishi ni kipi! .
Mkuu Barbarosa, hakuna anayepinga kuadhimisha Muungano bali tunahoji the logic behind kufuta maadhimisho muhimu ya Uhuru kwa kisingizio cha kubana matumizi kwenye sherehe wakati huo huo tukiendelea ku spend more kwenye sherehe nyingine.

Tumenunua Ndege mnapinga kwamba tununue Dawa Hospitalini wkt miaka yote mlikuwa mkilaumu kwa nini nchi yetu haina ndege, tumenunua lawama kwa nini tumenunua, tunajenga Reli mnapinga kwamba siyo muhimu, sasa sijui kuna jambo gani muhimu kwa nchi kuendelea klk Reli!

Jaribuni kuwa na msimamo, kama unapinga kitu pinga hata kama Dunia nzima ikiwa dhidi yako na siyo kubadilika na kupinga inapokunufaisha tu, lkn jambo hilo hilo likifanywa utapinga lisipofanywa utalaumu,...
Hakuna anayepinga kununua ndege na nchi yetu kuwa na National Flag Carrier yetu, tunachopinga ni kununua kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi.

Na kwenye Reli hakuna anayepinga SGR bali tumehoji kama hii iliyopo ambayo ni meter gauge ambayo ndio easy na simple to run, tumeshindwa, what are the chances of running express SGR, kwa abiria gani na traffic ya mizigo gani to operate profitably?. Tusichotaka ni another white elephant project.

Tanzania tuna Reli mpaka Tanga, Moshi, Arusha, Dodoma,Tabora, Mwanza, Kahama hadi Kigoma, tumeshindwa na kubakiwa na Reli ya Kati Tuu, juzi nimepita Bandari Kavu ya Isaka ni nyasi tuu, bila kujiuliza tumeshindwa nini na tumeshindwa wapi, then SGR will be another white elephant.

Paskali
 
Boss Pascal Mayalla bado 200B za kahama aka kuhamia Dodoma.

Bado tunakimbiza Mwenge.
Dodoma muhimu na kwa majibu wa kamati ya ufundi ule moshi wa Mwenge wa Uhuru ni muhimu kwa taifa letu ili ufike kila mahali japo tunaelezwa lengo la Mwenge ni ule mwanga kumulika nchi yote, hadi nje ya mipaka yetu kuleta upendo kwenye chuki na kuleta tumaini kwenye kukata tamaa.

Nijuavyo mimi mwanga humulika kwenye giza, sasa huku kukimbizana kumulika mchana wakati kuna mwanga, halafu wakati wa usiku kwenye giza ambako ndiko mwanga unakotakiwa ndio kwanza unasisimama kwa ajili ya kamati ya ufundi kufanya mambo!.

Paskali
 
Mkuu Barbarosa, hakuna anayepinga kuadhimisha Muungano bali tunahoji the logic behind kufuta maadhimisho muhimu ya Uhuru kwa kisingizio cha kubana matumizi kwenye sherehe wakati huo huo tukiendelea ku spend more kwenye sherehe nyingine.


Hakuna anayepinga kununua ndege na nchi yetu kuwa na National Flag Carrier yetu, tunachopinga ni kununua kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi.

Na kwenye Reli hakuna anayepinga SGR bali tumehoji kama hii iliyopo ambayo ni meter gauge ambayo ndio easy na simple to run, tumeshindwa, what are the chances of running express SGR, kwa abiria gani na traffic ya mizigo gani to operate profitably?. Tusichotaka ni another white elephant project.

Tanzania tuna Reli mpaka Tanga, Moshi, Arusha, Dodoma,Tabora, Mwanza, Kahama hadi Kigoma, tumeshindwa na kubakiwa na Reli ya Kati Tuu, juzi nimepita Bandari Kavu ya Isaka ni nyasi tuu, bila kujiuliza tumeshindwa nini na tumeshindwa wapi, then SGR will be another white elephant.

Paskali


Nijuavyo mimi hakuna kitu ambacho Serikali ingefanya ambacho msingeleta lawama hata kama isingengejeka Reli mpya na kutengeneza ya zamani kama unavyosema, bado ungekuja hapa na Picha za Reli ya Kenya na Ethiopia na kusema wenzetu wanafanya mambo ya kisasa sisi tunabakia kurepair viraka, na hatuwezi kushinda na kwenye AM, basi tu ili mradi, Lowasa mlimuita fisadi na kwamba ni evil man ever lived in Tanzania, leo hii mnamuuza kama ni Malaika Mkuu kuwahi kuishi Tanzania!

Well, kama ni hivyo kwa nini basi mnashindwa kuwashawishi Watanzania wawachague ili mfanye hayo ambayo siku zote mnatupiga darasa kwamba mnayayajua? CCM imeamua kufanya hivyo inavyofanya hivyo kama mnaona siyo sawa na inakosea basi waambieni Watanzania ili wawachague, au kama vp kinukisheni pia hilo nalo ni suluhisho lkn kulalama na kulia lia kila siku haisaidii wala kubadilisha chochote!
 
Nijuavyo mimi hakuna kitu ambacho Serikali ingefanya ambacho msingeleta lawama hata kama isingengejeka Reli mpya na kutengeneza ya zamani kama unavyosema, bado ungekuja hapa na Picha za Reli ya Kenya na Ethiopia na kusema wenzetu wanafanya mambo ya kisasa sisi tunabakia kurepair viraka, na hatuwezi kushinda na kwenye AM, basi tu ili mradi, Lowasa mlimuita fisadi na kwamba ni evil man ever lived in Tanzania, leo hii mnamuuza kama ni Malaika Mkuu kuwahi kuishi Tanzania!

Well, kama ni hivyo kwa nini basi mnashindwa kuwashawishi Watanzania wawachague ili mfanye hayo ambayo siku zote mnatupiga darasa kwamba mnayayajua? CCM imeamua kufanya hivyo inavyofanya hivyo kama mnaona siyo sawa na inakosea basi waambieni Watanzania ili wawachague, au kama vp kinukisheni pia hilo nalo ni suluhisho lkn kulalama na kulia lia kila siku haisaidii wala kubadilisha chochote!
Hakuna anayelia wala kulalama, Tanzania ni nchi yetu sote na Watanzania wote ni sawa hakuna Mtanzania muhimu kuliko mwingine wala hakuna Mtanzania bora kuliko mwingine, we are all equal.

Tunachofanya humu ni kutumia haki yetu ya freedom of expression kama ilivyotolewa na katiba kuhoji jambo lolote ndani ya JMT hata kuhoji kuhusu mawazo, maneno na matendo ya viongozi wetu tulio wapa dhamana ya kutuongoza.

Na sii kweli kuwa kazi yetu kulalamika tuu, sisi wengine kwenye mazuri tunapongeza, kwenye mabaya tunakosoa, mahali pa ushauri tunatoa na kwenye madudu tunaponda.

Maxence kupitia JamiiForums, ametoa mchango mkubwa sana kwa taifa hili, Hastahili kukaa mahabusu

Paskali
 
Back
Top Bottom