Japo nikiwa ndani ya nyumba speed inapungua sana, nikitoka nje ni balaa kama unavyoona kwa screen shots
Huku niliko tigo mtaisoma namba !! Inaenda mpaka 30mbps.. at one point juzi mshikaji alikuwa anadownload midnight iligota 50mbps ... sijaamini!!!!!
Ingawa inaflactuate lakini ni balaa!!!