Labda nitoke nje ya mada kidogo mkuu,unatumia simu gani?
si mchezo, ila inategemea na eneo
Hiyo tubemate mkuu lakin inategemea na sehemu huku mbezi tigo iko poa kuliko mitandao yote
Wewe utakuwa ni meneja wa Airtel unatoa promo baada ya wizi wenu wa kupandisha bei ya vifurushi kinyemela. Na umepewa ofa ya ofisini ndiyo maana unatumia data ku download vitu vya kijinga kama Maigizo ya kibongo bongo... Eti siri ya mtungi. Ptuh! Mtu aliyetoa hela yake hawezi kuchoma bundle kwa bongo muvi. Hata kama una download kwa ajili ya girlfriend wako
hio ya 16mbps yaukweli, inakaa kwa muda au inapanda na kushuka?
Screen shot ...hiyo simu ni. Huawei ascend y330Sony Experia Z1
Airtel ni mwisho wa matatizo hii ni speed nayopata karibia kila siku.
Inategemea na eneo na aina ya kifurushi.
By the way hiyo unayoshusha na siri ya mtungi msimu upi?
hio ya 16mbps yaukweli, inakaa kwa muda au inapanda na kushuka?
Screen shot ...hiyo simu ni. Huawei ascend y330
Msimu wa pili mkuu
Unaipata kwenye torrent au wapi. Coz naona msimu huu wamegoma kuiweka youtube, naihitaji sana mkuu