Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Ndiyo mkuu upo??
Mzingo wa dunia kuzunguka ikweta(circumference) ni km40,075.
Dunia inazunguka wastani wa km1600 kwa lisaa limoja (1600km/hr) katika mzingo huu.
Kwa mantiki hiyo ni speed kubwa mno kuliko hizi ndege za abiria tunazopanda.Na kukamilisha mzunguko mmoja ili tupate usiku na mchana mfano ikiwa ni saa moja asubuhi ikifika kesho saa moja asubuhi maana yake dunia imezunguka kwa saa 24 hadi ikarudia usawa ule ule ilipokuwa jana.
Kuna mambo au maswali yamenitatiza kwa muda mrefu:-
1.What is the impact of the speed of plane relative to speed of earth?Mathalani vile dunia inazunguka magharibi kwenda mashariki.Ndege ikaondoka juu usawa wa ikweta kuelekea Marekani.
Mbona isitumie muda mfupi sana vile dunia inazunguka speed kubwa mno kinyume chake?Na je kama ni hivyo kwanini isingening'inia tu angani kuitegea dunia ijizungushe yenyewe ikifika usawa wa Marekani ishuke?
Upande mwingine wa shillingi sasa ipae usawa ule ule wa ikweta sasa ielekee mashariki kule dunia inakoelekea kuzunguka kama kwenda India.je speed ya dunia ilivyo kubwa kuliko ndege yenyewe mbona haizidiwi kiasi kwamba kule inakotaka kwenda panakwenda kasi zaidi kwenda mbele?
2.Vile speed ya dunia ni kubwa mno mbona mawingu hatuoni tunapishana nayo tukiyachungulia tukiwa chini mithili vile tukiwa kwenye gari tunaona miti kama inatembea kurudi nyuma?
Naomba tuelimishane wana JF humu wataalamu wa Aviation na marubani pamoja na wataalamu wa jiografia watujuze.
Nipo mkuu,nilikula BAN lakini Alhamdulillah nimekuja na iD Nyingine.
Ebu tupe ujizi kidogo hapo mkuu kuhusu hilo suala
Umeeleweka mkuu-Dunia ni pamoja na atmosphere/anga lake.
Swali la pili pia linajibiwa na la kwanza.
Nikuoe mfano.
Hivi ukiwa kwenye gari umekaa kwenye siti yako hakuna bumps au kadaraja barabara ya lami imetulia na chupa yako ya chai ukaimimina kwenye kikombe je hiyo chai itamwagika kwa kuwa inaenda na speed ya gari hivyo kikombe kitabaki nyuma????
Swali lingine;
ikiwa kuna chombo kimetumwa sayari nyingine kama vile mars,kuna uwezekano wa kutumia muda tofauti wa kwenda na kurudi kwa spidi ile ile?
Mzingo wa dunia kuzunguka ikweta(circumference) ni km40,075.
Dunia inazunguka wastani wa km1600 kwa lisaa limoja (1600km/hr) katika mzingo huu.
Kwa mantiki hiyo ni speed kubwa mno kuliko hizi ndege za abiria tunazopanda.Na kukamilisha mzunguko mmoja ili tupate usiku na mchana mfano ikiwa ni saa moja asubuhi ikifika kesho saa moja asubuhi maana yake dunia imezunguka kwa saa 24 hadi ikarudia usawa ule ule ilipokuwa jana.
Kuna mambo au maswali yamenitatiza kwa muda mrefu:-
1.What is the impact of the speed of plane relative to speed of earth?Mathalani vile dunia inazunguka magharibi kwenda mashariki.Ndege ikaondoka juu usawa wa ikweta kuelekea Marekani.
Mbona isitumie muda mfupi sana vile dunia inazunguka speed kubwa mno kinyume chake?Na je kama ni hivyo kwanini isingening'inia tu angani kuitegea dunia ijizungushe yenyewe ikifika usawa wa Marekani ishuke?
Upande mwingine wa shillingi sasa ipae usawa ule ule wa ikweta sasa ielekee mashariki kule dunia inakoelekea kuzunguka kama kwenda India.je speed ya dunia ilivyo kubwa kuliko ndege yenyewe mbona haizidiwi kiasi kwamba kule inakotaka kwenda panakwenda kasi zaidi kwenda mbele?
2.Vile speed ya dunia ni kubwa mno mbona mawingu hatuoni tunapishana nayo tukiyachungulia tukiwa chini mithili vile tukiwa kwenye gari tunaona miti kama inatembea kurudi nyuma?
Naomba tuelimishane wana JF humu wataalamu wa Aviation na marubani pamoja na wataalamu wa jiografia watujuze.
Hiyo chupa ya chai inapaa hewani kama ndege mkuu?
Chupa ya chai inakuwa ipo mkononi haitembei na ndege inatembea.
Mkuu hilo ni jibu mujarabu kwenye forum kweli?Ukimaliza vidato utajua na utajishangaa kwanini uliuliza maswali ya kiboya na kwanini ukusubiri mwalimu akufundishe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu katika manibu yote ya maana, nadhani hili ndiyo jibu stahili kwa mtoa mada, ingawa umelijibu kifupi sn.Jibu fupi tu. Inazunguka na atmosphere yake. Yaani chochote kilichoshikiliwa na dunia, kinacheza mziki wa dunia kipende au kisipende.
Hichi unachokisema umetolea source gani?Jibu fupi tu. Inazunguka na atmosphere yake. Yaani chochote kilichoshikiliwa na dunia, kinacheza mziki wa dunia kipende au kisipende.
Ukimaliza vidato utajua na utajishangaa kwanini uliuliza maswali ya kiboya na kwanini ukusubiri mwalimu akufundishe!
Sent using Jamii Forums mobile app
-Dunia ni pamoja na atmosphere/anga lake.
Swali la pili pia linajibiwa na la kwanza.
Nikuoe mfano.
Hivi ukiwa kwenye gari umekaa kwenye siti yako hakuna bumps au kadaraja barabara ya lami imetulia na chupa yako ya chai ukaimimina kwenye kikombe je hiyo chai itamwagika kwa kuwa inaenda na speed ya gari hivyo kikombe kitabaki nyuma????
aiweze wapi mkuu spidi hiyoTusiende mbali fanya ww uko kwenye kiti cha gari na gari let say inakimbia 80km/hr, alafu inzi anakuzunguka. Unadhani inzi amekimbia speed kama gari ili aweze kukusumbua?
Kwa hiyo ndege ikitoka katika sayari nyingine ikawa inakuja duniani ikigusa ile anga ya dunia ambayo nayo inazunguka alafu ile ndege ikaganda pale pale nayo itakuwa inazunguka na ile atmosphere?Jibu fupi tu. Inazunguka na atmosphere yake. Yaani chochote kilichoshikiliwa na dunia, kinacheza mziki wa dunia kipende au kisipende.
-Dunia ni pamoja na atmosphere/anga lake.
Swali la pili pia linajibiwa na la kwanza.
Nikuoe mfano.
Hivi ukiwa kwenye gari umekaa kwenye siti yako hakuna bumps au kadaraja barabara ya lami imetulia na chupa yako ya chai ukaimimina kwenye kikombe je hiyo chai itamwagika kwa kuwa inaenda na speed ya gari hivyo kikombe kitabaki nyuma????
Unapokua hujui jambo ni busara zaidi ukapiga kimya tu.Ukimaliza vidato utajua na utajishangaa kwanini uliuliza maswali ya kiboya na kwanini ukusubiri mwalimu akufundishe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho chombo kitatumia spidi gani kuiwahi spidi ya dunia ili kisiachwe? kumbuka hicho chombo kitakuwa nje ya atmosphere ya dunia kwa wakati huo.Yeah, muda lazima utakuwa tofauti sababu dunia na sayari zingine zote zinatumia mda tofauti wa kulizunguka jua na kujizungusha kwenye mhimili wake, maana yake ni kwamba umbali uliopo kati ya sayari moja na sayari nyingine unaenda ukibadlikia kila mda. Ina maana mda ambao hiyo satellite inaenda kwenye hiyo sayari umbali uliopo kati yake utabadilika wakati hiyo satellite inarudi sababu sayari zote zinatembea kwa mwendo tofauti..unless hiko chombo kisubiri wakati sayari zimejipanga kwa umbali ule ule unaofanana wakati wa kuondoka..
Ndo maana kwa wale wafuatiliaji wa night sky objects watajua kuwa sayari tofauti huwa zinaonekana kwa nyakati tofauti za mwaka wakati wa usku na kwa mida tofauti..
Sent using Jamii Forums mobile app