Speed ya dunia dhidi ya speed ya ndege na mawingu imekaaje hapa

-Dunia ni pamoja na atmosphere/anga lake.

Swali la pili pia linajibiwa na la kwanza.

Nikuoe mfano.

Hivi ukiwa kwenye gari umekaa kwenye siti yako hakuna bumps au kadaraja barabara ya lami imetulia na chupa yako ya chai ukaimimina kwenye kikombe je hiyo chai itamwagika kwa kuwa inaenda na speed ya gari hivyo kikombe kitabaki nyuma????
Hiyo chupa ya chai inapaa hewani kama ndege mkuu?

Chupa ya chai inakuwa ipo mkononi haitembei na ndege inatembea.
 
Hiyo chupa ya chai inapaa hewani kama ndege mkuu?

Chupa ya chai inakuwa ipo mkononi haitembei na ndege inatembea.
Chai unayomimina nayo umeishika iingie kwenye kikombe???

Kwanini isiachwe nyuma??
 
Jambo lingine ukiwa kwenye gari lililotulia husikii hata kama upo kwenye chombo kinachosafiri.

Labda uangalie nje.
Kwa hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kwamba anga tunayoiona juu nayo inazunguka sawa na Dunia yaani kama vile ambavyo dunia inazunguka na anga inazunguka?
 
Kwa hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kwamba anga tunayoiona juu nayo inazunguka sawa na Dunia yaani kama vile ambavyo dunia inazunguka na anga inazunguka?
Sio uwezekano.

Unazunguka nayo hadi gravity ilipoishia.
 
Sawa kwa maana ukiwa kwenye gari alafu dirishani ikawa kuna gari ingine inatembea spidi sawa na gari yako hutoona kama zinatembea utaona kama zimesimama kwa sababu zimaspidi sawa.

Sasa katika comment yako maana yake gravity ilipoishia ukitoka nje ya gravity utaona dunia inazunguka kwa kasi sana?
Sio uwezekano.

Unazunguka nayo hadi gravity ilipoishia.
 
Jambo lingine ukiwa kwenye gari lililotulia husikii hata kama upo kwenye chombo kinachosafiri.

Labda uangalie nje.
Ukiwa ndani kwenye Ndege iliyoko angani ukanyanyua Juu mkono wako ulioshikilia karatasi kisha ukaiachia, Je itarudishwa nyuma sababu tu ndege inaenda kasi sana??
 
Sawa kwa maana ukiwa kwenye gari alafu dirishani ikawa kuna gari ingine inatembea spidi sawa na gari yako hutoona kama zinatembea utaona kama zimesimama kwa sababu zimaspidi sawa.

Sasa katika comment yako maana yake gravity ilipoishia ukitoka nje ya gravity utaona dunia inazunguka kwa kasi sana?
Bahati mbaya ni mbaaali saaaaana.

Fikoria tu ukiwa kwenye international commercial craft ukachungulia unaona vigorofa viduuuuchu.
 
Contribution from my friend....reason an airplane can't just idle and let the ground pass underneath is the same reason as why a ball dropped from a tall tower lands at the base of the tower and not next to it. A plane sitting on the ground is moving with the surface of the Earth, and while it appears to us to be at rest, it is actually moving at around 1,000 miles an hour (the exact value depends on your latitude). When it takes off, it still has speed from sitting on the ground. In order to fly east, the plane increases its speed relative to the surface of the Earth and begins to overtake it. Flying west it decreases its speed relative to the surface of the Earth, and the Earth slips by.

Here's a thought experiment. Imagine three moving walkways with a person standing on each one. Now let the person on the left walkway walk forward in the same direction as the walkway, the person in the center stay standing, and the person on the right walk backward in the opposite direction. All three people are moving in the direction that the walkway is moving, but the two people walking are moving in that direction more quickly and less quickly, respectively, than the person at rest. When the plane is sitting on the ground, it is like the person standing still on the moving walkway. The two people walking in same direction and opposite direction of the walkway are like the plane in air.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa ndani kwenye Ndege iliyoko angani ukanyanyua Juu mkono wako ulioshikilia karatasi kisha ukaiachia, Je itarudishwa nyuma sababu tu ndege inaenda kasi sana??
Navyojua ndege inasukuma upepo nyuma na sio ndege tu chochote kinachoenda mbele lazima upepo urudi nyuma yake.

Force ya kuvuta kila kitu ni kubwa hivyo athari ipo pia ndani ya ndege. Nipo tayari kusahihishwa.
 
Wanasayans walipopo kwenye International space center kule ndo wanaiona dunia inavyojizunguza

Nao haoni inavyolizunguka jua

Vyombo vilivyopo Mars vinaona dunia inavyozunguka jua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Navyojua ndege inasukuma upepo nyuma na sio ndege tu chochote kinachoenda mbele lazima upepo urudi nyuma yake.

Force ya kuvuta kila kitu ni kubwa hivyo athari ipo pia ndani ya ndege. Nipo tayari kusahihishwa.
Sizungumzii upepo wa nje unaokatwa na ndege, bali mtu alioko ndani ya ndege ambae hapati impact ya upepo wa nje. Bali nazungumzia sababu ulikua Point A wewe na Ndege na Karatasi, na sasa wewe na ndage umeliachaia karatasi, je wewe na ndege mtaendelea ku move mbele karatasi libaki pale pale lilipo then mpaka lifike mkiani au litaanguka tu chini hapo ulipo?
 
Contribution from my friend....reason an airplane can't just idle and let the ground pass underneath is the same reason as why a ball dropped from a tall tower lands at the base of the tower and not next to it. A plane sitting on the ground is moving with the surface of the Earth, and while it appears to us to be at rest, it is actually moving at around 1,000 miles an hour (the exact value depends on your latitude). When it takes off, it still has speed from sitting on the ground. In order to fly east, the plane increases its speed relative to the surface of the Earth and begins to overtake it. Flying west it decreases its speed relative to the surface of the Earth, and the Earth slips by.

Here's a thought experiment. Imagine three moving walkways with a person standing on each one. Now let the person on the left walkway walk forward in the same direction as the walkway, the person in the center stay standing, and the person on the right walk backward in the opposite direction. All three people are moving in the direction that the walkway is moving, but the two people walking are moving in that direction more quickly and less quickly, respectively, than the person at rest. When the plane is sitting on the ground, it is like the person standing still on the moving walkway. The two people walking in same direction and opposite direction of the walkway are like the plane in air.

Sent using Jamii Forums mobile app
This is precise and superb explanation with exemplaries thank you

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: vvm
Mimi mwaswali yangu ni

1. Hivi mfano watu wanaoenda mars au kwenye mwezi, wamethibitisha kama kweli kuna level ukifika hakuna gravity?

2. Je, ikitokea mtu/ chombo kikapata hitilafu kwenye hiyo zone isiyo na gravity kinaenda wapi

3. Hivi ndege ikishapaa, tuseme kwenye ultitude ya 10000 Mita, na ikanyoosha mbele kwa mbele bila kubadili ultitute ina maana itatoka nje ya dunia kwa kuwa dunia ni duara?

5. Hivi ikatokea ndege ikaenda juu hadi kwenye 0 gravity, nini kinatarajiwa kutokea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali lingine;
ikiwa kuna chombo kimetumwa sayari nyingine kama vile mars,kuna uwezekano wa kutumia muda tofauti wa kwenda na kurudi kwa spidi ile ile?
 
Back
Top Bottom