Officer2009
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 560
- 110
unafkiri walioweka speed meter hawajui yote hayo?? Kua tairi ya scania ni kubwa, na tairi ya starlet ni ndogo??? Ngoja nikuulize swali, je ndege zikiwa hewani, moja kubwa na ingine ndogo, na zote zinaenda at 120km/h lets say, kwahiyo ndege kubwa itamzidi ndege ndogo???? Ama labda tuchukulie meli, mv skagit na speed boat ndogo, zote zikawa katika 120km/h, yupi atakaemzidi mwenzie???? Msilete mambo ya tairi kubwa na ndogo, ishu ni km/h, ni SI unit worldwide, iende gari, iende meli, akimbie swala, iende ndege, iende bodaboda, ukiweza hata ukimbie wewe, the speed will b the same, since it is km/h..
Mkuu unakosea, Speed sensor ya gari ipo kwenywe output ya gearbox,na magari mengine kwenywe 'difu' hivyo ukubwa au udogo wa tairi sio kipimo cha speed ya gari.Rafiki hapo umekosea sana, Mimi ninauzoefu wa mambo ya magari.
Kwa mfano Suzuki ina tairi ndogo Scania ina tairi kubwa kama mara mbili ya tairi ya Suzuki kama kwenye Scania mshale wa speed utakuwa kwenye 120 na Suzuki 120 lazima Scania itampita Suzuki hiyo haina upishi kabisa.
Pia Sensor ya speed iko kwenye gearbox iko wazi mzunguko wa gear box ya gari ndogo ni tofauti na gari kubwa
mzunguuko ndio unao-determine speed. kwa kadiri mzunguuko unavo zidi kuwa mkubwa ndivyo spidi inavyo kuwa kubwa and vice versa. Gari kubwa mfano basi au lorry mzunguko wake wa injini piston ni mkubwa. hivyo unafua nguvu kubwa Horse powers vile vile mzunguuko wa tyres ni mkubwa pia, linapozunguka mara moja starlet inazungusha zaidi ta mara tatu au nne. Hivyo basi au lori katika spidi ya 120 km/hr sio sawa na gari ndogo katika 120km/hr
speed=distance covered(km)/time taken(hr)
tyre kubwa (lori/basi) lina-cover distance kubwa linapozunguka mara moja,wakati gari dogo (starlet) lina cover distance ndogo at a given same time. hivyo ili kwenda sawa gari ndogo lazima liwe katika speed zaidi ya 120km/hr
Hebu jiulize nini kina cover distance in m/s or km/hr? ni gear box? au matairi?
Speed ni ile ele labda wadau Comfortability ndo inahusika hapo na ndo inayokukosesha amani.
Mfano
VX V8 au Audi Q7 ikitembea speed 160km/hr
Halafu Hiace ya Bagamoyo ikatembea speed hiyo hiyo. Kutokana na comfotability ukiwa kwenye hiace utaona gari inakimbia sana na pia utaona mwendo ni wa hatari
Lakini ukiwa kwenye V8 hiyo speed 160 utaona kama ni 80 na mwendo utaona ni salama kabisa.
Wakuu mimi nipo safari ktk Iringa kuelekea Dar! Nikifika dar nitapitia posts zote na kutoa marks! Lakini mpaka sasa nasikitishwa sana na uelewa mdogo wa wengi ktk hili swali (ukizingatia wengine wanajita ma Dr); Mwongozo :- ili kujibu hili swahili ni vizuri ujiulize definition ya speed!
Architech naomba upitie mchango wa kila mtu uto marks, na mimi nikifika nipitie alafu tutoe average! lol
Mkuu unakosea, Speed sensor ya gari ipo kwenywe output ya gearbox,na magari mengine kwenywe 'difu' hivyo ukubwa au udogo wa tairi sio kipimo cha speed ya gari.
Rafiki hapo umekosea sana, Mimi ninauzoefu wa mambo ya magari.
Kwa mfano Suzuki ina tairi ndogo Scania ina tairi kubwa kama mara mbili ya tairi ya Suzuki kama kwenye Scania mshale wa speed utakuwa kwenye 120 na Suzuki 120 lazima Scania itampita Suzuki hiyo haina upishi kabisa.
Pia Sensor ya speed iko kwenye gearbox iko wazi mzunguko wa gear box ya gari ndogo ni tofauti na gari kubwa
ukisha sema km/h inabaki vile vlle kila gari. Ndio maana unakwenda barabarani unakuta wameandika mf 40. Maana yake magari yote yatembee 40km/h bila kujali tairi, difu wala piston. Ingekuwa kila gari na spidi yake basi kila sehemu yenye warning speed limit wangeweka pia parking na wangewka orodha ya kila gari na spidi yake. Unafika pale unasimama unaangalia gari yako kwenye orodha alafu unaangalia pidi yake unaondoka.
hiyo mashine inaitwa bugati veyron kama inatembea na 120sp/h inakata 300km
Kweli balaa kabisa.......................... speed=distance covered/time, ili ujue unatembea speed gani hiyo ndio lazima ujue umefika umbali gani kwa muda gani,................................si kweli kuwa matairi kuwa yanadetermine speed, huo ni utoto kabisa, kwa maana nyigine vitu visivyokuwa na matairi (ndege, boti, jahazi, chopper, baloon nk) sijui utawezaje kujua speed yake., ..... kumbe tunarudi palepale mpaka uwe na distance na time ndio unaweza kujua upo speed gani,,,................................speedometer inachokifanya ni kupima kilometer/mile ngapi unazikava kwa muda gani, na hiyo hipo hivyo kwa magari makubwa na madogo.............kwa maana 120km/hr ya lori ni sawa kabisa na 120Km/hr ya pikipiki,,..................kama pikipiki na lori zinatoka point A kwenda point B (120km) kwa pamoja, na zote zinatumia 120km/hr (constant speed), basi zote zitafika point B kwa muda mmoja yaani exactly saa moja
Mzee utachekwa !
Tunaposema Km/h tuna maanisha umbali wa barabara na muda unaotumika ku cover huo umbali na siyo vinginevyo.
usichanganye rpm, revolution per minute ya engine.
Hivyo, 120km/h iwe ya ndege, baiskeli, pikipiki treni, lori, chui zote ni sawa.
Kama wanaenda umbali wa Km 120 wote watatumia saa 1 wakiwa katika spidi hiyo ya 120km/h.
Rafiki hapo umekosea sana, Mimi ninauzoefu wa mambo ya magari.
Kwa mfano Suzuki ina tairi ndogo Scania ina tairi kubwa kama mara mbili ya tairi ya Suzuki kama kwenye Scania mshale wa speed utakuwa kwenye 120 na Suzuki 120 lazima Scania itampita Suzuki hiyo haina upishi kabisa.
Pia Sensor ya speed iko kwenye gearbox iko wazi mzunguko wa gear box ya gari ndogo ni tofauti na gari kubwa