Special zone: China, Oman to boost Bagamoyo special economic zone

Special zone: China, Oman to boost Bagamoyo special economic zone

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni iko siku mtamkumbuka tu
 
Mbona kote huko kaishafika na kufungua miradi mingi.

Geita sasa hivi ni mkoa kazi kubwa kaifanya JK.

Simiyu sasa hivi ni mkoa chini ya JK.

Katavi sasa ni mkoa chini ya JK.

Dogo ilo...
Kuwa mkoa ni maendeleo? Mkoa bila miradi ni kama shule bila madawati na waalimu.
 
Back
Top Bottom