Special threads~Tafuta kazi Tanzania

Special threads~Tafuta kazi Tanzania

Hello Hello Hello
Wanahitajika wahudumu wawili 2 wa Pub

—Mshahara ni 100k ( laki moja )
—Eneo la kazi : Mpiji Magoe - Dar es salaam
—-Muda wa kazi : kuanzia saa 9 Alasiri mpaka saa 6 usiku
Sehemu ya kulala ipo

Hii kazi ni Bureeee

Kwa mawasiliano 0749770705 whatsapp
Useme unaomba kazi gani

Mahitaji ya muhimu
1. Namba zako za simu
2. ⁠Majina yako matatu
3. ⁠Picha yako
4. ⁠Sehemu ulipo
 
Arusha
Anahitajika mfanyakazi wa ndani jinsia ya kike.
Familia ni ya watu 4
Baba, Mama, Watoto umri 5 na 9
Dini mkirsto 18-22
Mshahara 120k

Tuma maombi kwa namba 0749770705 whatsapp
Na useme unaomba kazi gani

Ni Bure

Mahitaji ya muhimu ni
1. Namba zako za simu
2. ⁠majina yako matatu
3. ⁠picha yako
4. ⁠Sehemu ulipo
 
BABATI MJINI *🔥
Anahitajika Dada wa kazi za ndani
Family ni Baba,Mdogo Ake boss na mtoto 16

SIFA ZA DADA
*UMRI 18-25
*MKIRISTO AU MUISILAM
*MCHAPAKAZI
*ELIMU CHUO
*AJUE KINGELEZA
*NA ANAE JITAMBUA

MSHAHARA 200K🔥
Mawasiliano - 0749770705

Fee Agency inakatwa 50k mwezi wa kwanza Anaeweza Basi Awasiliana nasi tuweze kukupatia Nafasi Hii

JINSI YA KUOMBA KAZI – FUATA MAELEKEZO HAYA KIKAMILIFU:

Tuma Taarifa Zako Kamili kwa Mfumo Ufuatao:

Jina Kamili:
Umri: _________
Kabila: _________
Elimu: _____________
Lugha Unazozungumza: ________________
Uzoefu wa Kazi (kama upo): ____________
Unatoka Mkoa gani: ______________
Unatafuta Kazi gani: _______________
Namba ya Simu: ___________________

1. TUMA PICHA MOJA YA HESHIMA (Full Picture)
Hakikisha picha inaonyesha mwili mzima.
Vaeni kwa staha – iwe picha safi na ya heshima kwa matumizi ya kazi.
Usitumie picha ya selfie au iliyokatwa vibaya.
 
ZOTE ZA NDANI KUKAA WKA BOSS ZIPO ni Bureee 0760600990 Watsapp

DODOMA MJINI
Mama pekee yake , na Kuna dada mwingine mdogo Ni mfanyakazi pia, anatakiwa mdada wa Kumsaidia

•Dini yeyote 18+
•MSAFI, Strong , (Kazi kubwa ni usafi)
•Anaejuwa Kupika Vizuri
MSHAHARA 150K kukaa hapo hapo

DODOMA MJINI
Baba mama watoto watatu Umri 13/10/7
Wote wanasoma unashinda mwenyewe Nyumbani ,

•Mkristo 20+
•Msafi na mzoefu wa kazi za ndani
•Mchapakazi na Muelewa
MSHAHARA 100K

KIMALA SUKA
Baba mama watoto wawili umri 2/ 5Miez Mama anakuwa na mdogo , Nyumbani

•Mkristo 18-22
•Mwenye Kumpenda Mungu Na Msafi kazini.
•Mzoefu wa kazi,. Mpenda watoto
MSHAHARA 100K

UBUNGO LIVER
Baba mama watoto wawili umri 12/8 wote wanasoma wanajitambua

•Dini yeyote 20+
•Mcheshi na mwenye Heshima
•Ajuwe Kupika na kufua
MSHAHARA 100K
Ukiwa vizuri unaongezewa
anatakiwa kuanzia sasa
 
Anahitajika kijana mwenye ujuzi wa kupika Chipsi, Location ni Mwananyamala 200,000 kwa mwezi, tuwasiliane 0653828027
 
Back
Top Bottom