The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Salaam Members:
June mwaka huu TFF walitoa tangazo la kuwepo kwa uchaguzi kwa nafasi ya Urais na nafasi za Wajumbe 6 wa kamati ya utendaji.
Hapa utazipata updates za hatua zote za awali hadi uchaguzi mkuu utakaofanyika Tanga tarehe 16/08/2025.
Pia kama una updates zozote unaweza share nasi kwani kote bado ni kupata habari.
June mwaka huu TFF walitoa tangazo la kuwepo kwa uchaguzi kwa nafasi ya Urais na nafasi za Wajumbe 6 wa kamati ya utendaji.
Hapa utazipata updates za hatua zote za awali hadi uchaguzi mkuu utakaofanyika Tanga tarehe 16/08/2025.
Pia kama una updates zozote unaweza share nasi kwani kote bado ni kupata habari.