Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,759
- 1,555
Sony pia hatuna kwa sasa mkuuJe kuna sony bravia 32''
Sony pia hatuna kwa sasa mkuuJe kuna sony bravia 32''
32" 400000, 43" 670000Mkuu Star X 32/43 bei gani? Mpk niipate Iringa
Mie pia nahitaji nchi 43 Niko Arusha namanga border32" 400000, 43" 670000
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni
Wewe utaipokelea airport arusha kwa bei hiyo hiyoMie pia nahitaji nchi 43 Niko Arusha namanga border
Samsung led 50" andaa 1.4m mpaka inakufika huko mbeya, samsung smart 50" andaa 1.8m mpaka inakufika hukoSamsung inch 50 naeza pata kwa bei gani nipo mbeya na naomba uniweke sawa kat ya smart tv na led kwa maana ya ubora,mtandaoni naweza pata viruses ambao nahici wanawezafanya tv angu kuharibika kwa haraka.kwenye hili unanambieaje au zenyewe hazidownload na kama zinadownload je kuna antivirus?
Zipo 40" na 48" mkuuNataka samsung smart tv 43 nipo kwa siku ya kesho kama itawezekana
Tupe bei za hizo...na pia bei za LED kma zipo za kuanzia 40Zipo 40" na 48" mkuu
Samsung smart 40" 1.2mTupe bei za hizo...na pia bei za LED kma zipo za kuanzia 40
Singsung 25"300k inapatikana aina gani na size gani?
Nauhitaji huu hadi dar bei ganiSamsung uhd curved tv 55"
Brand new 2016
Price 2.9m
Series 6
3m mkuu 0718919725 & 0777650286Nauhitaji huu hadi dar bei gani
Zimetuishia mkuu, kuwa mvumilivu, mwezi huu tunaingiza mzigoTCL smart au LED tv 40" unazo? Bei iko vipi kama unazo...!!!