Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Samsung inch 50 naeza pata kwa bei gani nipo mbeya na naomba uniweke sawa kat ya smart tv na led kwa maana ya ubora,mtandaoni naweza pata viruses ambao nahici wanawezafanya tv angu kuharibika kwa haraka.kwenye hili unanambieaje au zenyewe hazidownload na kama zinadownload je kuna antivirus?
 
Samsung inch 50 naeza pata kwa bei gani nipo mbeya na naomba uniweke sawa kat ya smart tv na led kwa maana ya ubora,mtandaoni naweza pata viruses ambao nahici wanawezafanya tv angu kuharibika kwa haraka.kwenye hili unanambieaje au zenyewe hazidownload na kama zinadownload je kuna antivirus?
Samsung led 50" andaa 1.4m mpaka inakufika huko mbeya, samsung smart 50" andaa 1.8m mpaka inakufika huko
111a43ff3280ae53299c8ad732a5aa2e.jpg
106978c5584d2ca423fd70a846c055b2.jpg
8bd4d0e7657b45aa0c33b39a35ff0d6c.jpg
f28c0c85f972993970a4f8728d7a3c47.jpg
 
Used Flat Screen Television.
Brand ya TCL.
Usb Port & HDMI.
Inchi 32.
Ipo Kigamboni, Dar es Salaam, Tz
Inamiss kitako.
Bei Tsh 400,000=/
Kwa maelezo zaidi; 0713400952
IMG-20170104-WA0002.jpg
IMG-20170104-WA0003.jpg
 
TCL smart au LED tv 40" unazo? Bei iko vipi kama unazo...!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom