Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,759
- 1,555
Kheri in shaa AllahNgoja nijipange mkuu
Kheri in shaa AllahNgoja nijipange mkuu
Hiz zina kungamuz cha ndan mkuu......?Mkuu nnazo star x 24" ni nzuri kwa hiyo shughuli bei ntakuuzia kwa 220000 tu
Contact: 0777650286 & 0718919725
Hiyo mkuu 43" smart tunauza 650000
HazinaHiz zina kungamuz cha ndan mkuu......?
Inawezekana mkuu kulipa kidogo kidogo, hatukuekei limit ya mda kwa 7bu tv tunazo nyngi, so mda wako tu, mpaka sumbawanga itakufika kwa 720000 mkuuHiinkwa kulipia kdgokdgo mwisho muda gan na vp me kuipata kwa Sumbawanga naipata kwa bei ip mkuu?
Phillips wako njema sana katika FLAT kuna kioo Tangu mwaka 2015 hadi sasa hata FUNDI hakimjui na Kilikuwa MTUMBAView attachment 1166130View attachment 1166131View attachment 1166132Phillips smart tv used
Inches 42
With 3d features
Hdmi port
USB port
Ipo clean sanaaa
Price 680
Location Dar
Call 0762142401
Ndio mkuu ziko poaa sanaaaa kwa kweliiiii picha zake kaliiiiii piaaPhillips wako njema sana katika FLAT kuna kioo Tangu mwaka 2015 hadi sasa hata FUNDI hakimjui na Kilikuwa MTUMBA
Hivi itakua kila siku tunabadili tu au manake duuh mnasifu tuNdio mkuu ziko poaa sanaaaa kwa kweliiiii picha zake kaliiiiii piaa
Hamna mkuu hiko kideo kiko poaHivi itakua kila siku tunabadili tu au manake duuh mnasifu tu
Duuuh sasa ndio tushanunua ivo tutabadili adi lini mkuu anywey angali jingine hili jipyaHamna mkuu hiko kideo kiko poa
Duuuh sasa ndio tushanunua ivo tutabadili adi lini mkuu anywey angali jingine hili jipya
Wa kuidhuru namb yangu mie atakua hana akili tu .ulikuja fanya nn huko kitambo hiko kumbe ni kaka angu eeeh au ndio kwenu?Ficha namba Tajiri wasalimie MPEKENYERA hadi liwale na Pale Darajani mbwe mkuru 😀😀 Sijui lile daraja liko poa sikuhizi early of 2004 Daraja lilikatikaga hapo na kuna mto mkubwa sana.
Bei hiiTanga moja, alhamdulillah
Asante mdau kwa support, enjoy life na lg uhd tvView attachment 1167950
1.05mBei hii
Naona unataka beba zote mkuu Hizi Gadget bhana kuna mda inabidi mtu uishinde nafsi tu.Bei hii
Made in wapi hii Boss awamu hii nataka kitu kikali kabisa kwa bei Kitonga imean mtumba wenye akili zote uwe smartBei hii
Hiyo ni EgyptMade in wapi hii Boss awamu hii nataka kitu kikali kabisa kwa bei Kitonga imean mtumba wenye akili zote uwe smart