Dennis eudes
Member
- Feb 1, 2012
- 24
- 8
Nishafuta mkuu uko sahihi yule mama yuko fair sana kama mzigo mkubwa lazima akupange.
Ndiyo kipo. Kuna kile kitu kimekaa kama flash sio flash kidogo kifupi. Unaweza kuchomela hata kwenye cm pia ukaweka flashKuuliza si ujinga.. Hivi kuna kifaa chochote ambacho unaweza kuchomeka kwenye TV halafu ukatumia hicho kifaa kuchomeka flash drive? Nimeuliza hivyo kwa sababu kuna TV hapa nimeweka ukutani lakini inakua ngumu kidogo kufikia usb port.
Kama OTG cable zipo k/koo buku mbili mbili tu mkuu ila ukienda kichwa kichwa unapigwa nenda aggrey na likoma maduka ya ndani ndani ya jumla.Na mimi nauliza
Wapi naweza kupata hii cable?
Kama OTG cable zipo k/koo buku mbili mbili tu mkuu ila ukienda kichwa kichwa unapigwa nenda aggrey na likoma maduka ya ndani ndani ya jumla.
au uliza kwa Mnigeria,Mzungu kama si Mkongo.
Hiyo hapoKama OTG cable zipo k/koo buku mbili mbili tu mkuu ila ukienda kichwa kichwa unapigwa nenda aggrey na likoma maduka ya ndani ndani ya jumla.
au uliza kwa Mnigeria,Mzungu kama si Mkongo.
Ndio kacheck zipo ila around 5000 hadi 10000 kuna mtu nilishawahi muelekezaHiyo hapo
Anakeraa mzee, analeta mihemuko kwenye business hapana shaka hajui marketing. There are soft and hard customers! What he had to do is not trying to chase the hard ones because they might be very strong on facts. Soft customers unawaburuza tu just because the might not be knowledgable enough. Dealing with customers needs balls!!!Aisee mbona na wew unamuita mwenzio mpuuzi? Anachosema dula ni sawa humu Hakuna wateja hata kwa Hizo item wanazojitia kuulizia wengine Awana hata umeme makwako mnaponda item za watu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja hupanguliwa kwa hoja.Mpaka sasa hakuna aliye jibu.Sio vema kuaribiana biashara.Nenden taratibu mtaelewanaAisee wew Ticha Mimi sikujua km wew ni choko ningekuwa nishakupa stahiki yako mapema Sana japo huwa sifanyi machoko..yanii wew kila sehem ukisikia salum lazima usimamishe matako yako..nilikutumia item sio? Uliposema item ni tofaut na model uliyotaka je ukupata pesa zako? Na mbona uliendelea kuitaji item kwangu? Na hio simu anayotumia mkeo umeitoa wapi? Nilipotuma tv guard na HDMI balance yangu iliyobaki kwenu wew na mwenzio mlinimalizia?ulishawai kuona nalialia Nilishakwambia toka mwaka juzi Tabia za kichoko na za kimpunga acha wengine tumeshastaff kuwaingilia machoko
Sent using Jamii Forums mobile app
nna movie ya saa moja ina 7gb...Mda mwingine tunaitaji tu Tv zenye format hio 4k ila kuzitumia atuzitumi coz DStv,Azam,zuku,startimes, n.k Hakuna inayorusha picha yenye format hio UHD na ukisema udownload video ya dakika 3 km vile music ya Ali kiba, daimond unakuta ni MB500 Sasa km video ya dakika 3 ni MB Zaid ya 400 je movei ya 2hours? Smtmz Tv yenye format ya 4k kibongobongo ni Kama pambo tu ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss smart tv inch 49
Full hd iko na hali nzuri
Kama mpya
USB
HDMI
950,000
0713799522
View attachment 1019834View attachment 1019836
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss kuna 200k hapaINAUZWA
SAMSUNG TV 32"
IKO KWENYE HALI NZURI
BEI 300000/=
Fast DealView attachment 1002803View attachment 1002805
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss nna 300KNina tv star x mpya kwenye box inch 32 bei 330k nlinunu kwa ajili la lodge ikabaki moja hiyo kwa anaetaka nipo sinza nyuma ya tanzanite tower karibia na hospitali ya mama ngoma njoo uonee mzigo tumalizane
Tuwasiliane 0765532858 au 0673540985
Ni mpya kabisa ipo kwenye box lake
Note;bei haipunguiView attachment 1017331View attachment 1017332
Sent using Jamii Forums mobile app
LocationLg LED tv inch 43
Good condition
Warranty 6 months
650,000
0713799522View attachment 1022442View attachment 1022443View attachment 1022445
Sent using Jamii Forums mobile app