Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

1f332.png
1f320.png
*BIG Offer*
1f332.png
1f320.png

32GB FLASH DISK FOR TShs. 20,000

Pata Flash disk yenye uwezo wa kusoma kwenye Laptop, TV, Radio etc kwa bei nafuu ya 20,000 kwa uwezo wa 32GB

Brand: DM PD076

Location : Mkuki House, Gerezani - Kariakoo


Bei:

32GB - 20,000

Call/Text/WhatsApp
1f4de.png
1f4f2.png
2709.png
0742968517


Follow us on Facebook and Instagram : @dmlifestore
2_32GB_price.jpg
1_32GB_price.jpg
 
Kuuliza si ujinga.. Hivi kuna kifaa chochote ambacho unaweza kuchomeka kwenye TV halafu ukatumia hicho kifaa kuchomeka flash drive? Nimeuliza hivyo kwa sababu kuna TV hapa nimeweka ukutani lakini inakua ngumu kidogo kufikia usb port.
Ndiyo kipo. Kuna kile kitu kimekaa kama flash sio flash kidogo kifupi. Unaweza kuchomela hata kwenye cm pia ukaweka flash

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi nauliza
Wapi naweza kupata hii cable?
Kama OTG cable zipo k/koo buku mbili mbili tu mkuu ila ukienda kichwa kichwa unapigwa nenda aggrey na likoma maduka ya ndani ndani ya jumla.
au uliza kwa Mnigeria,Mzungu kama si Mkongo.
 
Kama OTG cable zipo k/koo buku mbili mbili tu mkuu ila ukienda kichwa kichwa unapigwa nenda aggrey na likoma maduka ya ndani ndani ya jumla.
au uliza kwa Mnigeria,Mzungu kama si Mkongo.
 

Attachments

  • 20190202_212328.pdf
    249 KB · Views: 48
nauza samsung tv led inch 32 naiuza kwa shilingi laki nne na nusu tu 450000, namba zngu 0623953036
be300876-d9f4-4823-830b-674ea97257d6.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nina tv star x mpya kwenye box inch 32 bei 330k nlinunu kwa ajili la lodge ikabaki moja hiyo kwa anaetaka nipo sinza nyuma ya tanzanite tower karibia na hospitali ya mama ngoma njoo uonee mzigo tumalizane
Tuwasiliane 0765532858 au 0673540985
Ni mpya kabisa ipo kwenye box lake
Note;bei haipungui
20190209_070204.jpeg
20190209_070225.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mbona na wew unamuita mwenzio mpuuzi? Anachosema dula ni sawa humu Hakuna wateja hata kwa Hizo item wanazojitia kuulizia wengine Awana hata umeme makwako mnaponda item za watu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Anakeraa mzee, analeta mihemuko kwenye business hapana shaka hajui marketing. There are soft and hard customers! What he had to do is not trying to chase the hard ones because they might be very strong on facts. Soft customers unawaburuza tu just because the might not be knowledgable enough. Dealing with customers needs balls!!!
 
Aisee wew Ticha Mimi sikujua km wew ni choko ningekuwa nishakupa stahiki yako mapema Sana japo huwa sifanyi machoko..yanii wew kila sehem ukisikia salum lazima usimamishe matako yako..nilikutumia item sio? Uliposema item ni tofaut na model uliyotaka je ukupata pesa zako? Na mbona uliendelea kuitaji item kwangu? Na hio simu anayotumia mkeo umeitoa wapi? Nilipotuma tv guard na HDMI balance yangu iliyobaki kwenu wew na mwenzio mlinimalizia?ulishawai kuona nalialia Nilishakwambia toka mwaka juzi Tabia za kichoko na za kimpunga acha wengine tumeshastaff kuwaingilia machoko

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja hupanguliwa kwa hoja.Mpaka sasa hakuna aliye jibu.Sio vema kuaribiana biashara.Nenden taratibu mtaelewana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mda mwingine tunaitaji tu Tv zenye format hio 4k ila kuzitumia atuzitumi coz DStv,Azam,zuku,startimes, n.k Hakuna inayorusha picha yenye format hio UHD na ukisema udownload video ya dakika 3 km vile music ya Ali kiba, daimond unakuta ni MB500 Sasa km video ya dakika 3 ni MB Zaid ya 400 je movei ya 2hours? Smtmz Tv yenye format ya 4k kibongobongo ni Kama pambo tu ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
nna movie ya saa moja ina 7gb...
 

Similar Discussions

27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom