kamtu33
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 998
- 409
Karibu sana mkuumkuu tuombeane uhai,nitakutafuta muda si mrefu ngoja nizichange kwanza
Karibu sana mkuumkuu tuombeane uhai,nitakutafuta muda si mrefu ngoja nizichange kwanza
Disc rotter za gx110 50,000/-@Mkuu ntapata rotor za mbele za gx 110?
Mkuu kama bado unaihitaji hiyo bumper lamp niPm.nahutaji taa ndogo ya chini kwnye bampa ya harier highbred ya kushoto mkuu
Mi nina gari bovu kama waweza hitaji kwa ajili kuuza used spares.Nauza used spare parts yeyote ya magari ama spare parts mpya,iwe engine mpaka kitu chochote,ila kwa makubaliano maalum,iwe bmw,volkswagen,range rover,merecdes,jeep etc.kwa aliye na mahitaji anaweza ni pm.
kaka, mudgud lamp iko vp, sorryGrill show 150,000/-
Real lamp 200,000/-@
Madgud lamp 30,000/-@
Kwenye shavu vile vitaa vya pembenikaka, mudgud lamp iko vp, sorry
Kiongozi, naweza pata leo front grill runx na hiyo taa ya shavu la kulia, nyeupe?Kwenye shavu vile vitaa vya pembeni
Mkuu una nose cut ya pajero jr?Kwa mahitaji yako ya genuine shock absorbers za saloon and SUV cars na ufungaji na ushauri....PM kwa maelekezo zaidi
mkuu engine ya rav 4 kili time 1zz cc 1790 inaweza kupatikana kwa kiasi gani?Vile vile kuna grills za magari tofauti tofauti pamoja na shock absorbers za gari za japan, ford, vw na M/benz
mkuu engine ya rav 4 kili time 1zz cc 1790 inaweza kupatikana kwa kiasi gani?
Je napata shokapu za honda cr-v nyuma na mbele je ni bei gani