Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
9,144
Reaction score
19,690
Aliagizwa aende kutumia lugha ya matumaini? akimaanisha hatukuambiwa uhalisia au inakuaje?

DM4bj0KWAAIaYjV.jpg
 
Siku akiongelea upande mwingine msiseme kanunuliwa
 
Haiingii akilini wewe mwenye hisa 16% ugawane sawa kwa sawa na mwenye hisa asilimia 84%. Tatizo la wasomi wetu Tanzania ndio hilo, ni wanafiki wakubwa. Wangeeleza wazi hizo ni economic benefits na ni Implicity. Yaaani maana yake they are by implication but not financially kwamba tunapewa asilimia hamsini. hamna kitu kama hicho duniani. Sasa sijui lengo lilikua ni nini kudanganya watanzania. Hii nchi kuna mengi yamejificha aisee,
 
Back
Top Bottom