figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
- Thread starter
- #2,381
Yaani Wakuu, Msisikie sijui Urusi wanasonga mbele, ni kwamba Wanawatoa Kafara wanajeshi wao na wanapoteza Vifaa vingi. Yani watu tunaua na kuharibu hadi tunachoka. Wanazidi kuja tu. Hii Vita ikiisha mtasikia Warusi walouawa. Mfano leo wamekufa Warusi zaidi ya 200. Hadi naona huruma.