Special Thread: Usiku wa mahaba


Asante Nimeipenda hii
 

Uko vizur my dia!
Bring it more! Thanks
 

Ooh!..U kno what???...U'R SUCH KIND OF A VERY ROMANTIC WOMAN...IT SEEMS U KNO HOW TO TURN ON A REAL MAN...kwanza nakutunuku iyo tuzo hapo,kwa ivyo ulivyoelezea hapo napenda nikiwa nyuma yake uku naiangalia ile shingo yake aside then nimpumulie ile pumzi ya joto ivi slowly au nitumie ncha ya ulimi wangu kuchezea kingo za masikio yake...bhasi ni shiiida hapo akigeuka na kushika hizi 6-packs kisha kulalia kifua changu mie ndo huwa nadata hapo.
 



eeee waaaaah:thumbup:
 

Hahaahaaa!.. I release again that U'R A HOT WOMAN FOR A REAL GUYS!!!
 
mie bhana nlipokawa na yule girl niliekampenda kwa dhati nilifanya haya.
1.akifika getto anapokelewa vizury namvua viatu anaingia.
2.akiingia ndani ful manukato namkalisha kitandani namjulia hali na kila salam ya mahaba.
3.naenda kumwandalia maj ya kuoga namchukua nasaidiana nae kwenye kuoga.
4.tukirudi namfuta maji vizuri na kumueka sawa.
5.alikua hapend vyakula vya dukan but nlikua cmruhusu kupika, so nampikia zangu ugali na samaki za kukaanga pembeni kachumbari au namkaangia viaz na mayai na juice au chakula chochote simple.
6.nampakata paja la kushoto wakat nshaandaa msosi then namlisha
7.baada ya hapo namkalisha kitandani story tam znaendelea hadi 2nafikia kule sehem
Alikua na aibu sana na alikua anankataza kufanya hayo sometime coz alihis ni majukum yake ila me nlimueleza huwa najickia furaha nkimfanyia hvyo akaelewa.
wanawake ni mapambo yetu bhana sharti uyapambe ati
 

alikuacha???????
 

"niliyekampenda" wewe utakuwa wa kuleeeeee
 
Ondoa shaka " baby " nipo full equipped kwako

Ooooh thats so sweet of you. cute b njoo nikutambulishe kwa le super shemeji, ila tafadhali sitaki ule unoko wako hapa, sawaa(full kujihami)
 
Last edited by a moderator:
Ooooh thats so sweet of you. cute b njoo nikutambulishe kwa le super shemeji, ila tafadhali sitaki ule unoko wako hapa, sawaa(full kujihami)

Mtambulishe kabsaa acje akaleta shida hapa
 
Last edited by a moderator:
Daaah Kumbe wakubwa mnafaiiidii????ngoja na mm nifikishe miaka18 nitafute kichenchedo changu....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…