Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Habari zenu,
Natambua na kuheshimu ndoa za watu humu jamvini, najuwa kunawale walioweka ndani kama mimi na kuna wale walio kwenye uchumba. Hapa itakuwa ni sehemu sahihi kwa watu kupeana ufundi na manjonjo ya kimahaba.
Lakini ni ifikapo usiku kuanzia saa moja na kuendelea. Mke wangu charty najuwa upo safarini huko USA lakini hapa ndipo sehemu pekee unaweza kunipata na tukaliwazana.
Onyo: Ni marufuku kuongea kimahaba na mke/mme wa mtu, mchumba inaruhusiwa hata kutongoza sio kosa.
Karibuni watu wa mahaba niuwe
Natambua na kuheshimu ndoa za watu humu jamvini, najuwa kunawale walioweka ndani kama mimi na kuna wale walio kwenye uchumba. Hapa itakuwa ni sehemu sahihi kwa watu kupeana ufundi na manjonjo ya kimahaba.
Lakini ni ifikapo usiku kuanzia saa moja na kuendelea. Mke wangu charty najuwa upo safarini huko USA lakini hapa ndipo sehemu pekee unaweza kunipata na tukaliwazana.
Onyo: Ni marufuku kuongea kimahaba na mke/mme wa mtu, mchumba inaruhusiwa hata kutongoza sio kosa.
Karibuni watu wa mahaba niuwe