Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,165
- 6,531
Asante nayo ni mazurinatumia olive oil
Asante nayo ni mazurinatumia olive oil
Sijawahi kusikia,ndo nasikia kwako. Enhe. Unafanyajefanyaje?
kwani si tupo hapa kupeana faida woteShhhhhhhhh, usiseme kwa nguvu, utawapa faida wenzio.....tutafutane baadaye nikufundishe.
Jaribu Radiant nayo pia mazuriNashukuru
Asante ntayatfutaJaribu Radiant nayo pia mazuri
Like minatumia olive oil
hahahamafuta ya kula ni mazuri sana....
kwani si tupo hapa kupeana faida wote
haya jirani njoo inboboMi nataka nikupe faida wewe, si wengine.
Unatengenezaje?Tangu nianze.kutumia.virgin coconut oil nimeona.tofauti. usinunue.ya dukani tengeneza mwenyewe. Olive oil pia ni.mazuri, Castro na almond kama wengine walivyosema.
Saga kwa brenda au kuna nazi zako, chuja upate tui zito. Acha kwa dk kadhaa maji yajitenge na mafuta, engua mafuta ya juu baada ya kujitenga na maji, chemsha mafuta hayo ulotenganisha na maji, yaani hilo tui zito kwa moto mdogo mpaka maji yakaule kabisa na ubaki na mafuta tu. Moto mdogo husaidia mafuta yasiungue na kuwa na harufu. Kwisha kupoa hifadhi vizuri ktk chupa safi yenye mfunikoUnatengenezaje?
Asante dearSaga kwa brenda au kuna nazi zako, chuja upate tui zito. Acha kwa dk kadhaa maji yajitenge na mafuta, engua mafuta ya juu baada ya kujitenga na maji, chemsha mafuta hayo ulotenganisha na maji, yaani hilo tui zito kwa moto mdogo mpaka maji yakaule kabisa na ubaki na mafuta tu. Moto mdogo husaidia mafuta yasiungue na kuwa na harufu. Kwisha kupoa hifadhi vizuri ktk chupa safi yenye mfuniko