Urembo wa nywele, mitindo mbalimbali ya kusuka na kunyoa

Kuna blog nimeona ina maelezo mazuri matunzo ya nywele. Picha za mafuta nimeshindwa weka humu(sijui kuweka) inaitwa laura pettie. Kuna topic nying hicyo ya nywele mpaka kuitafuta Super women 2
 
Habari. Naombeni mnijuze mafuta mazuri ya nywele. Yanayokuza. Ambayo pia hayakati nywele. Mimi nywele zangu ni laini. Ila zinakoleaga dawa.. Ukiniwwkea na picha. Ntashukuru
Tafuta mafuta yanaitwa ( T444z ) google kwenye simu yako afu utanipa majibu mwenyewe
 
combtwists-rotate-pics3-e1354719714561-233x322.jpg



IMG_1849.jpeg

Napenda sana hizo ila nasikia kuna vifaa vya kutengenezea, mwenye ufahamu tafadhali
 
Wapendwa,
Nimeona nifungue uzi huu maalum kwa wadada wanaopenda mitindo ya nywele. Katika uzi huu nitakuwa nikiweka mitindo mbalimbali ya nywele kila nitakapopata nafasi, lakini pia kwa wale wenye kupenda mitindo ya nywele mnaweza kutupia picha mbalimbali za mitindo ya nywele ili kuweza kupeana uzoefu.


Karibuni sana wapendwa.

Naomba MODs waiweke thread hii sticky ili iwe ni mahali pa kupakulia mitindo ya nywele kwa wadada.


808957_Flaviana-ICE5_jpg83798d1db451b29b26f654496b7942e7



185346_344853272270983_2058981036_n.jpg


finger-curled-short.jpg


tumblr_mep174eB431rtaurro1_r1_400.jpg



880070_69720_295593757218434_1304665233_n_jpg2d090ad51211ce11a15de4c462138475



natural-hair-bridal-style-luri3.jpg




naturalhair.jpg



714494_chale_beauty_jpg47832e5c45564cca3a73210c5f427050


tumblr_mftkfmVKyb1qevxl8o1_500.jpg
Mi ningependa hii
1484400184857.jpg
 
Wakuu kutokana na majukumu ya kikazi(confidencial) nimelazimika nifuge afro ili niweze kufanikiwa project hio naomba mwongozo mafuta mazuri ya kupaka yanayoweza kukuza nywele vizuri na zionekane zenye afya yasiwe na madhara
karibuni sana wandugu
 
Habari. Naombeni mnijuze mafuta mazuri ya nywele. Yanayokuza. Ambayo pia hayakati nywele. Mimi nywele zangu ni laini. Ila zinakoleaga dawa.. Ukiniwwkea na picha. Ntashukuru


Samahani kama nitakukwaza, wanawake wengi niliokutana nao, wanasema shahawa za kiume ni mbolea ya nywele, yaani ina reproduce cells zilizokufa. Umejaribu hii method?
 
Back
Top Bottom